VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
salamu wakuu baada ya mijadara mingi kwenye mitandao mimi nimeona niweka hapa polltuona kama ni sahihi kwa miss TANZANIA 2011 kupeperusha bendera ya Taifahali kapatikana siku ya msiba?sio hivyo tu shughuli zake kitaifa na kimataifa nini mawazo yako?nimekuja na wazo ili katika misingi ya kujenga taifa lenye uungwana na kujali utupamoja na kukemea yale tunayoweza.Nyingi ya kamapuni ziko chini ya uwezo wetu tunaweza kuzizibiti na kuziweka katika msitarituweke msimamokaribu