Ikiwa katika wave ya ugonjwa wa shida ya kupumua tuliandaa miongozo ya Wizara ya Afya( ambayo haijafutwa kwa miongozo mipya) ikiwa ni pamoja na kunawa na maji tiririka, kuvaa vifunika pua vya mdomo na pua-barakoa, kutokua na mikusanyiko isiyo lazima) mazoezi na kula vyema kwa nini inakua ngumu nyakati hizi. Tuliweza kusali kitaifa. Tusiweke afya zetu na tuwapendao rehani. Tukiweza tuanze na sala ya taifa bila hofu huku tukizingatia.
Kila ugonjwa una kinga zake, mfano tunalala kwenye net kujizuia na mbu. Tunanawa mikono tukitoka chooni kuzuia magonjwa ya kuhara.
Tuchukue hatua kila mmoja, siasa si suluhisho la kila tatizo. Ni wakati wa kutotoa lawama bali kuchukua hatua dhabiti.
Kila ugonjwa una kinga zake, mfano tunalala kwenye net kujizuia na mbu. Tunanawa mikono tukitoka chooni kuzuia magonjwa ya kuhara.
Tuchukue hatua kila mmoja, siasa si suluhisho la kila tatizo. Ni wakati wa kutotoa lawama bali kuchukua hatua dhabiti.