Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 636
- 1,115
Unazi wa kupindukia Kwa real Madrid na Manchester united ulifanya nishindwe kutazama mechi nyingi za fc Barcelona
Huwa najilaumu Kwa kujikosesha nafasi ya kuangalia soka safi na linalovutia hasa kutoka Kwa hao mafundi wawili enzi hizo wakiwa moto.
Huwa najilaumu Kwa kujikosesha nafasi ya kuangalia soka safi na linalovutia hasa kutoka Kwa hao mafundi wawili enzi hizo wakiwa moto.