Abdul Nondo
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 515
- 2,874
Nimekuwa nikifuatilia maandiko ya Yericko Nyerere tangu 2013 dhidi ya Zitto Kabwe hadi leo.Nina diriki kusema kwamba Yericko Nyerere amehifadhi chuki binafsi nzito dhidi ya Zitto Kabwe hadi sasa .Chuki hizo husababishwa na mgogoro wa kinafsi (personal conflict) ndani ya Yericko kuona Zitto Kabwe aliyekuwa akimtusi na kumshambulia tangu zamani akiendelea kuwa mwanasiasa imara na wakuaminiwa na wana demokrasia,vijana , watanzania na vyama vingine vya upinzani .
Jambo hilo limekuwa likimfanya Yericko kuendeleza mapambano yake binafsi, kwa kuhusisha taasisi ya Chadema , wanachama dhidi ya Zitto Kabwe na ACT wazalendo.
Bahati mbaya sana,chuki zake binafsi amezihusisha na Chadema na wanachama wake baadhi wanaomuamini sio wanaomjua ,wanaomjua wanampuuza kila siku ila wasiomjua wanamuamini.Mimi nataka umjue Yericko Nyerere leo kuwa chuki zake dhidi ya Zitto Kabwe ni chuki binafsi na za muda mrefu .Sema haamini kuwa Zitto Kabwe hakuanguka alipitarajia Zitto aanguke.
Labda anajiaribu leo kwa kupata endorsement kutoka kwa wafitinishaji wengine kupitia yeye ,kujiaribu kama atamuangusha.
*2013* hadi leo Yericko Nyerere amekuwa na chuki binafsi dhidi ya Zitto Kabwe.Na amekuwa akimshambulia Zitto mitandaoni na Jamii Forum waziwazi kwa muda mrefu sana.
Tarehe 5/Januari/2014 katika blog ya Yericko Nyerere mwenyewe aliandika andiko shambulizi dhidi ya Zitto
Kichwa cha habari.
" *Uongozi wa Siasa Tanzania umekosa maadili ya uongozi wa Taifa kuzaa akina Zitto* " . Akimshambulia Zitto ,ila Zitto alimpuuza.
Tarehe 15 ,Novemba 2015 , Yericko Nyerere aliandika Jamii Forum kuwa tar 13/11/2013 saa tano usiku ,alipigiwa simu namba +4915739568962 ,kuwa akitishiwa .akaenda polisi kufungua RB 9833/2013 .Anadai polisi walivyomuliza ahisi aliyemtishia ,yeye akataja Zitto Kabwe.
Ila baadaye kwa taarifa iligundulika kuwa ni Yericko Nyerere mwenyewe alitengeneza mtu ili kutishiwa kwa kupigiwa simu kwa code ya ujerumani mtandao wa E-plus ,ili aseme ni Zitto Kabwe .Sababu eti siku kadhaa Zitto alikuwa ujerumani .Ila Zitto alimpuuza Yericko Nyerere.
Yericko huyu huyu ,alitamani Zitto asahaulike kabisa ,asitajwe asiandikwi popote kwa chuki zake binafsi.Tarehe 18,Januari 2014 Yericko Nyerere huyu huyu aliandika mitandaoni akishambulia magazeti ambayo yaliandika juu ya Zitto kabwe kulazwa Nigeria ,Yericko akaja akaandika kuwa habari hizo ni za uongo zimepikwa na Zitto mwenyewe aache kurubuni watanzania kupitia vyombo vya habari. Aliandika kana kwamba yeye ni mlinzi au PS wa Zitto Kabwe .
Unaweza kuona namna ambavyo ,Yericko Nyerere alibeba chuki dhidi ya Zitto kabwe.Ila Zitto Kabwe aliendelea kimpuuza Kijana.
2013 ,Yericko huyu huyu alianza kampeni kusema ACT ni tawi la CCM ,Juzi tuu hapa katika kundi moja la whaatsp kataja kuwa CUF sio chama pinzani tena ni Tawi la CCM ,bali wapinzani ni CHADEMA ,ACT ,NCCR na vingine isipokuwa CUF.
Yericko Nyerere,huyu huyu tarehe 15/Machi/2019 .Alianza kampeni yake rasmi kumshambulia Maalim Seif kuhamia ACT , akamshambulia Zitto Kabwe na akakishambulia chama kuwa ni chama kidogo ,hakina madhara kwa CCM na kinatumika kuua CHADEMA.
Nilimjibu Yericko Nyerere kuwa kama ACT inatumika kuuwa CHADEMA ,aje atuambie ni namna gani CUF ilitumika kuuwa NCCR , atuambie namna CHADEMA ilitumika kuwa CUF ,ndio aje atuambie namna ACT wazalendo inavyotumika kuuwa CHADEMA .
Una muita Zitto Kabwe msaliti anatumika ,umemuita hivyo muda mrefu sana Lowassa uliyekuwa una mpinga kaja CHADEMA,kaondoka CHADEMA kurudi CCM na akakuachia kesi mahakamani (kesi ya Amani bila haki) ila Zitto Kabwe bado yupo upinzani ,Dr.Slaa ulikuwa una muita mpinzani yupo CCM Zitto bado yupo upinzani,Mwita ,Shonza,Kafulila,Katambi ,Mtatiro na wengine wapo CCM leo Zitto bado yupo upinzani alafu una muita Zitto msaliti kwa chuki zako
Juzi huyu Yericko Nyerere ameibuka tena kwa kumshambulia Zitto Kabwe kuhusu mahusiano yake na Tundu Lisu,eti Zitto alimtusi Tundu Lissu ,Zitto aliwatusi CHADEMA.Mbona husemi kuwa ni Tundu Lissu ndiye aliyesoma press ya kumvua uongozi Zitto na baadaye kusema Zitto ni Mbunge wa Mahakama?
Yote haya hayana nafasi tena kwa sasa ,sababu viongozi hawa wajuu wameona hakuna haja ya kuwa na uwadui ambao hauna faida ikiwa adui wao wote anajulikana wazi kwa sasa .
Hivyo wameamua kwa pamoja kusahau yaliyopita na kuganga yajayo(Forward Ever Backward never).Na uzuri wote Mh.Tundu na Mh.Zitto wamehojiwa DW jana ,wameweka sawa juu ya mahusiano yao ya ukaribu.
Wafitinishaji wanakutumia kufitinisha umoja wa vyama vya upinzani na wamepata hiyo fursa kukutumia wewe sababu ya chuki zako binafsi dhidi ya Zitto Kabwe.
Uzuri ni kwamba Yericko hutaweza ,Sababu kila mtu anajua kuwa wewe ni kibaraka na unatumika kwa chuki zako kukwamisha umoja imara wa upinzani nchini .Kila mtu anajua kuwa wewe ni mtu wa kuzusha na muongo ,jambo zuri zaidi ni kuwa viongozi wakubwa wa CHADEMA wanakupuuza na hata wanachama pia wanakupuuza sababu wanakujua ,wasio kujua ndio wataamini hekaya zako za Abuniwasi.
Mbali na fitna zako na chuki dhidi ya Zitto Kabwe,umekuwa ukijisahau na kujikuta ukimsifu Zitto Kabwe kuwa ni kiongozi imara.Umemsifu tarehe 8 octoba 2017 kuhusu *ubatili juu ya uteuzi wa katibu wa Bunge* ,umemsifu tarehe 11/Februari / 2018 kuhusu *mabadiliko ya Sheria ya TISS na namna TISS* inavyopaswa kufanya kazi.Ukasau kuwa "Y can not be Y and be Y at the same time" Y ni Y tuu ,lazima ujue kuwa "Zitto ni Zitto tuu siku zote" .
Sijawahi muona Mh.Mbowe akimsema vibaya Mh.Zitto wala Mh.Zitto akimsema vibaya Mh.Mbowe.
Sijawahi kuona viongozi wajuu wa CHADEMA au NCCR wakimsema au kumshambulia Zitto Kabwe tangu alipo hamia ACT wazalendo .Wewe Yericko ni nani ndani ya uongozi wa CHADEMA hadi ujipe cheo cha kuisemea CHADEMA na kuaminisha umma fitna na chuki zako,kwani viongozi hawapo?
Ni kwasababu wanajua uimara na mshikamano wa vyama pinzani.
Nikuache na Maneno haya:
Kiongozi mkongwe wa chama pinzani nchini New Zealand Hon.Donald Thomas Brash (Don Brash) aliwahi sema hivi.
"Opposition parties don’t have the same resources as the Government and the Executive, so we have to work twice as hard to get the same results"
Kuwa upinzani hauna rasilimali kama ambavyo Serikali au chama kilicho madarakani wanalivyo ,hivyo upinzani una paswa kufanya kazi mara mbili yake au hata zaidi ili kufikia malengo na matokeo. Don Brash alilisitiza sana juu ya umoja,upendo na mshikamano wa upinzani na sio migogoro miongoni mwa wapinzani.
Abdul Nondo.
abdulnondo10@gmail.com
0659366125
Nyegezi-Mwanza.
Jambo hilo limekuwa likimfanya Yericko kuendeleza mapambano yake binafsi, kwa kuhusisha taasisi ya Chadema , wanachama dhidi ya Zitto Kabwe na ACT wazalendo.
Bahati mbaya sana,chuki zake binafsi amezihusisha na Chadema na wanachama wake baadhi wanaomuamini sio wanaomjua ,wanaomjua wanampuuza kila siku ila wasiomjua wanamuamini.Mimi nataka umjue Yericko Nyerere leo kuwa chuki zake dhidi ya Zitto Kabwe ni chuki binafsi na za muda mrefu .Sema haamini kuwa Zitto Kabwe hakuanguka alipitarajia Zitto aanguke.
Labda anajiaribu leo kwa kupata endorsement kutoka kwa wafitinishaji wengine kupitia yeye ,kujiaribu kama atamuangusha.
*2013* hadi leo Yericko Nyerere amekuwa na chuki binafsi dhidi ya Zitto Kabwe.Na amekuwa akimshambulia Zitto mitandaoni na Jamii Forum waziwazi kwa muda mrefu sana.
Tarehe 5/Januari/2014 katika blog ya Yericko Nyerere mwenyewe aliandika andiko shambulizi dhidi ya Zitto
Kichwa cha habari.
" *Uongozi wa Siasa Tanzania umekosa maadili ya uongozi wa Taifa kuzaa akina Zitto* " . Akimshambulia Zitto ,ila Zitto alimpuuza.
Tarehe 15 ,Novemba 2015 , Yericko Nyerere aliandika Jamii Forum kuwa tar 13/11/2013 saa tano usiku ,alipigiwa simu namba +4915739568962 ,kuwa akitishiwa .akaenda polisi kufungua RB 9833/2013 .Anadai polisi walivyomuliza ahisi aliyemtishia ,yeye akataja Zitto Kabwe.
Ila baadaye kwa taarifa iligundulika kuwa ni Yericko Nyerere mwenyewe alitengeneza mtu ili kutishiwa kwa kupigiwa simu kwa code ya ujerumani mtandao wa E-plus ,ili aseme ni Zitto Kabwe .Sababu eti siku kadhaa Zitto alikuwa ujerumani .Ila Zitto alimpuuza Yericko Nyerere.
Yericko huyu huyu ,alitamani Zitto asahaulike kabisa ,asitajwe asiandikwi popote kwa chuki zake binafsi.Tarehe 18,Januari 2014 Yericko Nyerere huyu huyu aliandika mitandaoni akishambulia magazeti ambayo yaliandika juu ya Zitto kabwe kulazwa Nigeria ,Yericko akaja akaandika kuwa habari hizo ni za uongo zimepikwa na Zitto mwenyewe aache kurubuni watanzania kupitia vyombo vya habari. Aliandika kana kwamba yeye ni mlinzi au PS wa Zitto Kabwe .
Unaweza kuona namna ambavyo ,Yericko Nyerere alibeba chuki dhidi ya Zitto kabwe.Ila Zitto Kabwe aliendelea kimpuuza Kijana.
2013 ,Yericko huyu huyu alianza kampeni kusema ACT ni tawi la CCM ,Juzi tuu hapa katika kundi moja la whaatsp kataja kuwa CUF sio chama pinzani tena ni Tawi la CCM ,bali wapinzani ni CHADEMA ,ACT ,NCCR na vingine isipokuwa CUF.
Yericko Nyerere,huyu huyu tarehe 15/Machi/2019 .Alianza kampeni yake rasmi kumshambulia Maalim Seif kuhamia ACT , akamshambulia Zitto Kabwe na akakishambulia chama kuwa ni chama kidogo ,hakina madhara kwa CCM na kinatumika kuua CHADEMA.
Nilimjibu Yericko Nyerere kuwa kama ACT inatumika kuuwa CHADEMA ,aje atuambie ni namna gani CUF ilitumika kuuwa NCCR , atuambie namna CHADEMA ilitumika kuwa CUF ,ndio aje atuambie namna ACT wazalendo inavyotumika kuuwa CHADEMA .
Una muita Zitto Kabwe msaliti anatumika ,umemuita hivyo muda mrefu sana Lowassa uliyekuwa una mpinga kaja CHADEMA,kaondoka CHADEMA kurudi CCM na akakuachia kesi mahakamani (kesi ya Amani bila haki) ila Zitto Kabwe bado yupo upinzani ,Dr.Slaa ulikuwa una muita mpinzani yupo CCM Zitto bado yupo upinzani,Mwita ,Shonza,Kafulila,Katambi ,Mtatiro na wengine wapo CCM leo Zitto bado yupo upinzani alafu una muita Zitto msaliti kwa chuki zako
Juzi huyu Yericko Nyerere ameibuka tena kwa kumshambulia Zitto Kabwe kuhusu mahusiano yake na Tundu Lisu,eti Zitto alimtusi Tundu Lissu ,Zitto aliwatusi CHADEMA.Mbona husemi kuwa ni Tundu Lissu ndiye aliyesoma press ya kumvua uongozi Zitto na baadaye kusema Zitto ni Mbunge wa Mahakama?
Yote haya hayana nafasi tena kwa sasa ,sababu viongozi hawa wajuu wameona hakuna haja ya kuwa na uwadui ambao hauna faida ikiwa adui wao wote anajulikana wazi kwa sasa .
Hivyo wameamua kwa pamoja kusahau yaliyopita na kuganga yajayo(Forward Ever Backward never).Na uzuri wote Mh.Tundu na Mh.Zitto wamehojiwa DW jana ,wameweka sawa juu ya mahusiano yao ya ukaribu.
Wafitinishaji wanakutumia kufitinisha umoja wa vyama vya upinzani na wamepata hiyo fursa kukutumia wewe sababu ya chuki zako binafsi dhidi ya Zitto Kabwe.
Uzuri ni kwamba Yericko hutaweza ,Sababu kila mtu anajua kuwa wewe ni kibaraka na unatumika kwa chuki zako kukwamisha umoja imara wa upinzani nchini .Kila mtu anajua kuwa wewe ni mtu wa kuzusha na muongo ,jambo zuri zaidi ni kuwa viongozi wakubwa wa CHADEMA wanakupuuza na hata wanachama pia wanakupuuza sababu wanakujua ,wasio kujua ndio wataamini hekaya zako za Abuniwasi.
Mbali na fitna zako na chuki dhidi ya Zitto Kabwe,umekuwa ukijisahau na kujikuta ukimsifu Zitto Kabwe kuwa ni kiongozi imara.Umemsifu tarehe 8 octoba 2017 kuhusu *ubatili juu ya uteuzi wa katibu wa Bunge* ,umemsifu tarehe 11/Februari / 2018 kuhusu *mabadiliko ya Sheria ya TISS na namna TISS* inavyopaswa kufanya kazi.Ukasau kuwa "Y can not be Y and be Y at the same time" Y ni Y tuu ,lazima ujue kuwa "Zitto ni Zitto tuu siku zote" .
Sijawahi muona Mh.Mbowe akimsema vibaya Mh.Zitto wala Mh.Zitto akimsema vibaya Mh.Mbowe.
Sijawahi kuona viongozi wajuu wa CHADEMA au NCCR wakimsema au kumshambulia Zitto Kabwe tangu alipo hamia ACT wazalendo .Wewe Yericko ni nani ndani ya uongozi wa CHADEMA hadi ujipe cheo cha kuisemea CHADEMA na kuaminisha umma fitna na chuki zako,kwani viongozi hawapo?
Ni kwasababu wanajua uimara na mshikamano wa vyama pinzani.
Nikuache na Maneno haya:
Kiongozi mkongwe wa chama pinzani nchini New Zealand Hon.Donald Thomas Brash (Don Brash) aliwahi sema hivi.
"Opposition parties don’t have the same resources as the Government and the Executive, so we have to work twice as hard to get the same results"
Kuwa upinzani hauna rasilimali kama ambavyo Serikali au chama kilicho madarakani wanalivyo ,hivyo upinzani una paswa kufanya kazi mara mbili yake au hata zaidi ili kufikia malengo na matokeo. Don Brash alilisitiza sana juu ya umoja,upendo na mshikamano wa upinzani na sio migogoro miongoni mwa wapinzani.
Abdul Nondo.
abdulnondo10@gmail.com
0659366125
Nyegezi-Mwanza.