Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,595
Yericko Nyerere yupo busy kuuza kitabu chake chenye vumbi huko AmazonYericko Nyerere hujawasha data?
Yericko Nyerere yupo busy kuuza kitabu chake chenye vumbi huko AmazonYericko Nyerere hujawasha data?
Mwambie amuige kakayake Said Msonga. Mchambuzi makini na si mkabilaMdogo wangu nondo wewe bado mtoto mdogo kwenye hii tasnia acha jazba za unyumbani ukigoma. Tulia jifunze bado una'analysis za kitoto na mihemko ya kinyumbani kwamba huyu wanyumbani relax bwanamdogo. Baadaye utakuwa MTU mzima mwenye tafakuri jadifu na yanikinifu
😂😂😂! Na Cyprian Musiba wa Lipumba ni nani?Yericko ni Cyprian Musiba wa Mbowe
Abdul Nondo ni Cyprian Musiba wa Zitto
So tunachohudia ni Cold War
😂😂😂! Na Cyprian Musiba wa Lipumba ni nani?
Umenivunja mbavu mkuu, hapo kumuonya bwana mdogo kwa mara ya mwishoDogo kuwin mind za watu kwenye akili inahitaji umakini mkubwa, tulia soma game vizuri, majority ya members wa jf ni watu kwenye upeo mkubwa wa kuchambua mambo, hatupelekeshwi na hisia,
Nakuonya Mara ya mwisho kuwa makini au utapoteza