sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,564
- 11,478
Wewe abdul nondo na huyo yericko nyerere wote ni watoto wa kupuuzwa tu. Kila siku tunawaambia mnafanya siasa za kizamani, siasa za uanaharakati. Siku hizi watu wanataka siasa za maendeleo. Siku hizi hakuna ufisadi, rushwa imepungua, ubadhirifu wa mali za umma unazidi kudhibitiwa, safari za kupiga hela hakuna tena, huduma za afya zinaboreshwa. Siasa za harakati hazina nafasi zama hizi. Pengine mlichelewa kuingia kwenye siasa ndio maana bado mnatumia mbinu za zamani za watangulizi wenu.