Chuki ya wanasiasa kwa Tume ya Katiba na kifo cha Dr. Mvungi

Mtanzania mwenye uchungu nakuumia juu ya mwenzke huwezi kuogopa kuongelea hli swala imetuuma sna huu c msiba wawa pare wala wavungi niwakitaifa *funguka kadri uwazavyo #
 
Kifo ni mipango ya mungu hvo tusipotoshane bure na kuingiza itikadi za kisiasaj


Mkiambiwa kwa baadhi ya watanzania kama wewe NI wavivu aw kufikiri MNAANA kusema mumetukanwa, au wewe unajifanya mjanja ukidhani wote hawafikiri,

Waiofikiri Mara nyingi husukuma kila lawama kwa mungu, au huomba mungu ILI mvua inyeshe kutatua tatizo la umeme!
 
Napata wasiwasi sana na usalama wa raia wa kawaida ikiwa wataalam tuliwasomesha kwa fedha nyingi wanauawa hivi!

Prof. Mwakiusa alipigwa risasi pale kwake Wazo na watu waliotajwa kama majambazi.

Dr. Mvungi naye kauawa sababu zikiwa ni zile zile kuvamiwa na majambazi, hii inashangaza.

Wasiwasi wangu ni sababu za kuuawa kwao eti ujambazi! Siamini hata kidogo,hapa kuna mkono wa mtu.

Nikiangalia matukio ya kuandikwa kwa katiba mpya napata wasiwasi kwasababu Dr. Mvungi nipate mawazo nimesoma sana kazi zake alikuwa anaamini kwenye mfumo wa serikali 3,mamlaka ya wananchi,utawala bora kwa ujumla, huenda walimmaliza ili utekaji wa hoja uwe rahisi.

Ni mimi Mzalendo na mtanganyika kutoka Rorya.

Sauti kuu ya Tanganyika ipo siku itarudi.
 
Hilo mbona linajulikana kwenye msiba ma ccm yalisema kinafiki eti wataenzi fikra za marehemu za serikali 3
 
Na kama CCM wangejua kama Warioba angekuja kua mwiba kwao kiasi hiki basi huenda hata yeye tusingekua nae.
Nafikiri walijua Warioba wataweza kumwendesha na hatawasumbua kwa vile ni CCM, hofu ikawa kwa Dr. Mvungi.
 
Napata wasi wasi sana na usalama wa raia wa kawaida ikiwa wataalam tuliwasomesha kwa fedha nyingi wanauwawa kisenge hivi!.Prof.Mwakiusa alipigwa risasi pale kwake wazo na watu waliotajwa kama majambazi.....haya Dr.Mvungi naye kalala na sb ni zile zile....hii inashangaza.Wasi wasi wangu ni sb za kuuwawa kwao eti ujambazi!si amini hata kidogo,hapa kuna mkono wa mtu.Nikiangalia matukio ya kuandikwa kwa katiba mpya napata wasi wasi kwa sb Dr. Mvungi nipate mawazo nimesoma sana kazi zake alikuwa anaamini kwenye mfumo wa serikali 3,mamlaka ya wananchi,utawala bora kwa ujumla....uenda walimmaliza ili utekaji wa hoja uwe rahisi.

Ni mimi Mzalendo na mtanganyika kutoka Rorya.

Sauti kuu ya Tanganyika ipo siku itarudi.

prof LIVIGA ATHUMAN JE?
 
Huyu jamaa si ndio ametuletea neno MAKAVELI kwa lugha ya kijiweni? zamani nilikua nadhani ni neno la mtaani tu!

Kaka ukisoma issues kwenye Political Science zinazohusiana na power lazima Ukutane na huyu jamaa aliyekuwa Mpishi...ni Muitaliano yeye anasema ikiwezekana fanya mauaji ili usiachie madaraka. Na anasema ukiamua kumuumiza mtu muumize kikweli kweli ili revenge yake isiogopwe
 
Kama ni hivyo, basi wa kuuwawa si alikuwa WARYOBA? Ambaye akilala, akiamka , akipanda majukwaani ni serikali 3? Acha porojo zako wewe.
 
Kaka ukisoma issues kwenye Political Science zinazohusiana na power lazima Ukutane na huyu jamaa aliyekuwa Mpishi...ni Muitaliano yeye anasema ikiwezekana fanya mauaji ili usiachie madaraka. Na anasema ukiamua kumuumiza mtu muumize kikweli kweli ili revenge yake isiogopwe

Nilisoma habari zake kwenye kitabu kimoja jinalake lina power strategies... kama sikosei, si kumbuki vizuri ila ana mikakati ya kufa mtu!
 
ccm walijua wajumbe wengine wangebadilika kumbe ndo wameendelea na msimamo ule ule
 
Back
Top Bottom