Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,068
AIBU AIBU Chama kikongwe chenye Miaka 60 Madarakani CCM kinaogopa kukosolewa, kinazuia Mikutano ya Hadhara kinatengeneza Wabunge fake 19 wasio CHAMA Bungeni.
Kinateua Wenyeviti wa Serikali za Mitaa badala ya KUPIGIWA kura kwa hofu ya KUSHINDWA na Chadema (Uchaguzi Serikali za Mitaa 2019).
Kinateua Wabunge na Madiwani kwa Hofu ya ukifanyika Uchaguzi watachaguliwa Wagombea wa Chadema (Uchaguzi Mkuu 2020)
LEO pale Morogoro JESHI la POLISI Limezuia Magari yaliyokuwa yamembeba KATIBU MKUU wa Chadema yasipite ili hali Magari mengine yanapita kwa kisingizio cha eti Viongozi wa Jeshi la Polisi wana Kikao Hotelini.
Barabara ni MALI ya WALIPA KODI na sio Mali ya CCM iweje Chadema wazuiwe KUPITA?
CHUKI na UOGA wa CCM kwa CHADEMA ni ZAIDI ya CHUKI na UOGA wa MKOLONI kwa TANU ya NYERERE.
Kinateua Wenyeviti wa Serikali za Mitaa badala ya KUPIGIWA kura kwa hofu ya KUSHINDWA na Chadema (Uchaguzi Serikali za Mitaa 2019).
Kinateua Wabunge na Madiwani kwa Hofu ya ukifanyika Uchaguzi watachaguliwa Wagombea wa Chadema (Uchaguzi Mkuu 2020)
LEO pale Morogoro JESHI la POLISI Limezuia Magari yaliyokuwa yamembeba KATIBU MKUU wa Chadema yasipite ili hali Magari mengine yanapita kwa kisingizio cha eti Viongozi wa Jeshi la Polisi wana Kikao Hotelini.
Barabara ni MALI ya WALIPA KODI na sio Mali ya CCM iweje Chadema wazuiwe KUPITA?
CHUKI na UOGA wa CCM kwa CHADEMA ni ZAIDI ya CHUKI na UOGA wa MKOLONI kwa TANU ya NYERERE.