notradamme
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,009
- 452
Nakupa pole ndugu kwa kuwa mtumwa wa PESA,unaongelea mafanikio bila kujali yanakujaje???' nakushauri kafanye utafiti ni makampuni ya watu gani yanayoshinda tenda za serikali kila zinspotangazwa?? Ukishapata jibu, fanya utafiti ni kwa nini,,,,,kwa taarifa yako ni kwamba,, WACHAGA WALIOKO SERIKALINI WANAHAKIKISHA WACHAGA WENZAO WALIOKO MTAANI WANAFAIDIKA NA FEDHA ZA SERIKALINI KUPITIA UPENDELEO MAALUM. Ni systematic rasismWatanzania siku hizi tumekuwa watu wa hovyo sana,hatufanyi tafiti kujua huyu kafanikiwa kwa nini,nifanye nini ili na mimi nifanikiwe km yeye au zaidi yake badala yake tunatafuta data zetu kijiweni na kuanza kuwaonea wengine gere,km wachaga wamefanikiwa kwa juhudi na maarifa yao wapongezwe na sio kubezwa kila uchao,tuache siasa za udini,ukanda na ukabila cuz zitaliacha taifa hili vipande vipande.