Stevemike
Senior Member
- Mar 12, 2011
- 117
- 15
Nilichogundua hapa kwa wasioamini kuawa kwa Osama ni chuki dhidi Marekani. Nawashauri wangelaumu tu kwa nini kauawa au kaonewa labda, na sio kupinga kuwa hajafa! Hiyo haitabadilisha ukweli juu ya kifo chake! Sababu wanayoing'ang'ania ya mwili kutokuonekana haitoshi. Haiwezekani US kutangaza kuawa kwa osama huku wakijua ni mzima na anaweza kujitokeza tena. Aibu hiyo wataipeleka wapi? Think twice before U speak!