comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,214
- 5,940
Sioni msingi wa mgogoro kati ya Bunge likiongozwa na spika wake na CAG isipokuwa chuki dhidi ya mwenye damu ya kunguni Ndugae. Msingi wa chuki unaweza kuwa ni namna anavyoshughulika na nidhamu ya wabunge hasa akina LEMA et al. Ngugae amukuwa kama Rais Trump kila afanyalo linamajibu hata kabla halijafika mwisho. kwa maoni yangu:-
- chanzo cha sakata hili ni CAG kudharilisha haiba ya bunge;
- pamoja na kelele zote utendaji wa CAG haujaathiriwa na sakata hili;
- sote kwa kukosa hekima tumepoteza mda wa maana kuhangaika na jambo lisilo na tija