Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,937
- 25,279
Usikute ni Chui wa Sabaya, alikuwa anamtafuta boss wake🐒Nasikia alikua anafugwa
Usikute ni Chui wa Sabaya, alikuwa anamtafuta boss wake🐒Nasikia alikua anafugwa
Hata Hamza wangeweza kumdhibiti ili kupata picha nzima ya tukio lake ila wakamuua kabisa🥲Askari wetu wanarahisisha sana kazi.
Hapana nasikia alipotokea huyo mzee kashafarikiUsikute ni Chui wa Sabaya, alikuwa anamtafuta boss wake🐒
Iteni wataalamu wa maabara ya mifugo wachukue sampuli, kuna uwezekano huyo chui akawa na kichaa cha mbwa (rabies)....pia waliojeruhiwa wahakikishe wanapewa kinga ya kuzuia kichaa cha mbwa.Leo Asubuhi kuna Chui ameleta fujo na kujeruhi watu kadhaa.
Askari wa wanyama pori wafanikiwa kumuua.
Majeruhi wanne waliojeruhiwa na Chui huyo ni pamoja na
1.Emmanuel Urassa(37) ambaye amejeruhiwa maeneo ya usoni na mkononi,
2.Jesca Nkoo(21) amejeruhiwa usoni na mgongoni,
3. Urusula Cosmas (26) amejeruhiwa kichwani na puani na
4. Maliki Sakia (31) aliyejeruhiwa kichwani na mdomoni.
Wanapatiwa matibabu hospitali ya Wilaya ya Hai.
View attachment 1957264
View attachment 1957265