kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 17,647
- 14,794
Leo Asubuhi kuna Chui ameleta fujo na kujeruhi watu kadhaa.
Askari wa wanyama pori wafanikiwa kumuua.
Majeruhi wanne waliojeruhiwa na Chui huyo ni pamoja na
1.Emmanuel Urassa(37) ambaye amejeruhiwa maeneo ya usoni na mkononi,
2.Jesca Nkoo(21) amejeruhiwa usoni na mgongoni,
3. Urusula Cosmas (26) amejeruhiwa kichwani na puani na
4. Maliki Sakia (31) aliyejeruhiwa kichwani na mdomoni.
Wanapatiwa matibabu hospitali ya Wilaya ya Hai.
Askari wa wanyama pori wafanikiwa kumuua.
Majeruhi wanne waliojeruhiwa na Chui huyo ni pamoja na
1.Emmanuel Urassa(37) ambaye amejeruhiwa maeneo ya usoni na mkononi,
2.Jesca Nkoo(21) amejeruhiwa usoni na mgongoni,
3. Urusula Cosmas (26) amejeruhiwa kichwani na puani na
4. Maliki Sakia (31) aliyejeruhiwa kichwani na mdomoni.
Wanapatiwa matibabu hospitali ya Wilaya ya Hai.