pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,649
- 13,705
Soma uelewe acha kukurupuka kama uharo!Tunataka ukweli, yaani mtu anajiua halafu anajitupa ndani ya tank?
Soma uelewe acha kukurupuka kama uharo!Tunataka ukweli, yaani mtu anajiua halafu anajitupa ndani ya tank?
We huna tofauti na hao polisi waliofeli form 4.Sasa katoliki huwa wanasusa kumzika kwa ibada mwamini aliye jinyonga! Huyu padre itakuaje? Maana mazingira yanataka kutuaminisha eti amejinyonga!
Acha jazba za kijinga.Soma uelewe acha kukurupuka kama uharo!
Hakuwa Jesuit bali missionary of Africa n.a. alikuwa mkuu wa shirika hilo kwa hapa TanzaniaMajesuits wamemalizana HAO wenyewe kwa WENYEWE!!
Nami yalinikuta. Naisubiri nione.Sasa katoliki huwa wanasusa kumzika kwa ibada mwamini aliye jinyonga! Huyu padre itakuaje? Maana mazingira yanataka kutuaminisha eti amejinyonga!
Ajinyonge halafu ajitumbukize kwenye tanki la maji?Sasa katoliki huwa wanasusa kumzika kwa ibada mwamini aliye jinyonga! Huyu padre itakuaje? Maana mazingira yanataka kutuaminisha eti amejinyonga!
Kivipi tena Mkuu?We huna tofauti na hao polisi waliofeli form 4.
Huenda alijitumbukiza kwenye tank la maji ndiyo kifo kikatokeaAjinyonge halafu ajitumbukize kwenye tanki la maji?
Jesuit ni idara ya kijasusi!!haijalishi alikua shirika gani!!wale jamaa hufanya kazi shirika lolote kwa malengo maalumu SIO lazima wawe specific kwa shirika moja la Jesuit pekee!!Hakuwa Jesuit bali missionary of Africa n.a. alikuwa mkuu wa shirika hilo kwa hapa Tanzania
Sent from my SM-T555 using JamiiForums mobile app
Mazishi tayari kule pugu jijini Dar Mungu ampe pumziko la AmaniKwani wanaaga leo
Huko si kujinyonga.Huenda alijitumbukiza kwenye tank la maji ndiyo kifo kikatokea
Naona unachanganya kati ya Jusuists na Shirika la Jesuists FathersHakuwa Jesuit bali missionary of Africa n.a. alikuwa mkuu wa shirika hilo kwa hapa Tanzania
Sent from my SM-T555 using JamiiForums mobile app
Mazishi tayari kule pugu jijini Dar Mungu ampe pumziko la Amani
Duh mwanangu mbona hao ni wamoja?Naona unachanganya kati ya Jusuists na Shirika la Jesuists Fathers