Karungikana
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 848
- 745
Ina maana kati ya hao wote, yeye peke yake ndo aliua bila kushirikiana na yeyote, au hao wengine hongo yao ilitosha?
Nao watalipa tu, maana saa nyingine Mola hutoa malipo hapa hapa duniani!Anaitwa lymo namfahamu walimuwekea Sumu kwenye chakula kwasababu alismua kutoa ushahidi wa kweli zamu yake ya ushahidi na ndiye aliwaokoa wakaachiwa kifo chake.
Halafu yule polis mwanamke alikufa mwaka juzi hapo shekulango flets za police
Maisha yana formula...nayo ni mtu unapaswa kuwa mnyenyekevu, mcha Mungu, usiye na majivuno, mpenda haki, unayechukia rushwa na maovu yote, mwenye nidhamu na usiye na chembe ya sifa ya ukatili...
Kweli muda unakimbia...its now 20 years since lile tukio la mbeya? Mi naona kama jana tu tunacheki ITV...na ndio lilikuwa tukio la kwanza la moto wa tanker nadhani hapa bongoBro labda kipindi kile cha akina zombe yeye alikuwa na 10 yrs. sasa ana 25+yrs. Sidhani kama atajua kinachoongelewa hapa. Ni sawa wale wa kuchota mafuta Moro, wakati wengine walipo kuwa wanaungua kule Mbeya, pengine wao walikuwa 11 and below, umri huo wala hawakujua kilichotokea, 20yrs from then wana below 31. Hawakumbuki kitu, ndiyo maana lori lilipo anguka walikimbilia eneo na tukio wakiwa na madumu. Matokeo yakawa, tukio lilelile lililotukia miaka 20 iliyopita likajirudia.
Kama issue ni usukuma mbona hata Christopher Bageni ni msukuma? Acheni ukabila jamani. Sheria itachukua mkondo wake.Wafanyabishara walikuwa wasukuma unatarajia nini!?
Na walidhulumiwa uhai! Hawakuwa majambazi!!
Kweli muda unakimbia...its now 20 years since lile tukio la mbeya? Mi naona kama jana tu tunacheki ITV...na ndio lilikuwa tukio la kwanza la moto wa tanker nadhani hapa bongo
swali ni kwamba anadhurumu haki za watu!!!!Bado Murotto , analiwa timing tu
asante kwa madini mkuuAnaitwa lymo namfahamu walimuwekea Sumu kwenye chakula kwasababu alismua kutoa ushahidi wa kweli zamu yake ya ushahidi na ndiye aliwaokoa wakaachiwa kifo chake.
Halafu yule polis mwanamke alikufa mwaka juzi hapo shekulango flets za police
Lakini karma inamlaaKilichomuoka Zombe ni kwa vile siku ya tukio hakuwa frontline
Nnacho Manisha ukiishi usijifanye ww uko juu ya kila kitu,chochote kinaweza tokeaMaisha yana formula...nayo ni mtu unapaswa kuwa mnyenyekevu, mcha Mungu, usiye na majivuno, mpenda haki, unayechukia rushwa na maovu yote, mwenye nidhamu na usiye na chembe ya sifa ya ukatili...
Yule askari aliyefariki kuna utata kwenye kifo chake. Ukifanyika uchunguzi vizuri kunaweza kuwa na makandokando mengi. Hlafu kuna yule aliyetoroka (aliyetoroshwa?). Huyu naye ni shahidi muhimu sana na akipatikana kesi itachukuwa mkondo mpya.Anaitwa lymo namfahamu walimuwekea Sumu kwenye chakula kwasababu alismua kutoa ushahidi wa kweli zamu yake ya ushahidi na ndiye aliwaokoa wakaachiwa kifo chake.
Halafu yule polis mwanamke alikufa mwaka juzi hapo shekulango flets za police
Enzi zake zombe asiskie mjini Kuna watu wa mpunga?????Zombe yuko wapi?
Waswahili hujuwana kwa vilemba hakuna neno!!! Alidhulum uhai wa wasukuma wenzake watu wa kijiji kimoja na naniloo...Kama issue ni usukuma mbona hata Christopher Bageni ni msukuma? Acheni ukabila jamani. Sheria itachukua mkondo wake.
Bageni si Msukuma ni mjaruo kwaoni RoryaKama issue ni usukuma mbona hata Christopher Bageni ni msukuma? Acheni ukabila jamani. Sheria itachukua mkondo wake.
😂😂😂 hakuwahi kuruka ata kwenye tukio moja mkuu alitumia redio tu kimbunga flani geuka....... Position A maliza kuna mzigo chini ya seat .....Chezea mtu anaitwa Zombe, nasikia alikuwa akipiga kitu ya Tarime kabla hajaenda kwenye tukio!!
Weye inzi wa blue na nyekundu na nyeupeWewe kweli ni inzi wa kijani