donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,040
- 21,513
Salaam wakuu,
wale wakuu wa Dodoma tupeane basi codes za pilau. Mi baada ya kutoka church nlienda pale Jacana kupata yale mambo yetu pale then nikaliunga Royal Village kudiba kidogo. Kwa sasa nipo African Dreams nazuga zuga ili nianze kusaka coordinates za pilau!
wale wakuu wa Dodoma tupeane basi codes za pilau. Mi baada ya kutoka church nlienda pale Jacana kupata yale mambo yetu pale then nikaliunga Royal Village kudiba kidogo. Kwa sasa nipo African Dreams nazuga zuga ili nianze kusaka coordinates za pilau!