Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Tunapoanza Ibada ya Kwaresma tunapaswa kutambua ibada hii inalenga Toba. Tumesimama kizimbani kumfurahisha Mwanadamu tukamsau Mungu; tumetafsiri vibaya neno lake tukaacha kuwaeleza ukweli wanasiasa tukiamini wao Wana nguvu kuliko Mungu; tulikaa Kimya tukiamini ayatuhusu Hadi tulipobaini kwamba Mbowe anaweza akaitafuta HAKI bila kumpigia makofi mwanadamu. Leo Kwa vinywa vyetu tumetamka adharani kwamba tatizo siyo Kosa la Ugaidi Bali tatizo ni mamlaka.
Kauli hizi zimetufanya tukubali kwamba hata Ninyi mnatuambua kwamba si kila Amri inayotoka Kwenye mamlaka za Dunia inatoka Kwa Mungu. Mmetumia miezi kadhaa kuja kutamka mlichokiamini. Kuchelewa kwenu kumechangia kujibu hoja ya HAKI iliyocheleweshwa ni SAWA na HAKI iliyonyimwa. Madhara nimakubwa kuliko faida.
Lakini pia mmezungumza wa woga tofauti na mnavyozungumza na Mungu wenu, yamkini siyo utashi wenu wala maombi yenu kwa Mungu mpate busara ya kusema Bali mmeelekezwa kusema. Je, mtaelekezwa kusema Hadi lini? Ninyi mwaongoza Watu au mwaongozwa? Utii wenu upo Kwa Watu au Kwa Mungu?
Mmesherekea sikukuu mbili na Sasa mmeingia mwezi wa Toba; Tubuni mkapate maono na nguvu mpya yakusimama madhabauni bila kutegemea fadhila za viongozi. Kaanzeni kuwaongoza badala ya kuongozwa. Adhabu yenu itawafuata
Kauli hizi zimetufanya tukubali kwamba hata Ninyi mnatuambua kwamba si kila Amri inayotoka Kwenye mamlaka za Dunia inatoka Kwa Mungu. Mmetumia miezi kadhaa kuja kutamka mlichokiamini. Kuchelewa kwenu kumechangia kujibu hoja ya HAKI iliyocheleweshwa ni SAWA na HAKI iliyonyimwa. Madhara nimakubwa kuliko faida.
Lakini pia mmezungumza wa woga tofauti na mnavyozungumza na Mungu wenu, yamkini siyo utashi wenu wala maombi yenu kwa Mungu mpate busara ya kusema Bali mmeelekezwa kusema. Je, mtaelekezwa kusema Hadi lini? Ninyi mwaongoza Watu au mwaongozwa? Utii wenu upo Kwa Watu au Kwa Mungu?
Mmesherekea sikukuu mbili na Sasa mmeingia mwezi wa Toba; Tubuni mkapate maono na nguvu mpya yakusimama madhabauni bila kutegemea fadhila za viongozi. Kaanzeni kuwaongoza badala ya kuongozwa. Adhabu yenu itawafuata