MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,686
- 31,470
Huu ni ujinga wa kiwango cha SGR, wakati babu zako wanafanya, na pengine baba yako anafanya kafara na matambiko kwa mizimu huko kwenu Nanjilinji, ma-Papa walikua wanakunywa mvinyo na kuongea na Mungu. You know nothing about kanisa katoliki acha kuongea kama mtu aliyepagawa na mapepo.Kanisa katoliki limefanya yafuatayo chini ya viongozi wao. Kama hujui, toroka
1. Walibadili siku ya ibada kutoka jumamosi kwenda jumapili
2. Walianzisha ubatizo wa maji ya bakuli badala ya maji mengi
3. Walibadili amri za Mungu kutoka 10-9, lakini wakavunja ya 9 zikawa mbili. Soma kutoka 20
4. Wanaamini Roho haifi. Na kwamba mtu akifa anaweza kuombewa na kasisi hata Kama alikuwa mdhambi akasamehewa na akaenda paradiso
5. Wao ndio wenye zile elimu za toharani ( Pagatory)
6. Papa Ni mungu anaeonekana (Vicar of Christ)
7. Wao ndio madesign wa hizi imani za kilokole. Maproohet na Maapostal wanafaham ilo. Roma Mama lao Mzee soma Uf. 17
Last bt not least. Yeye ndio beast from many water.
Heri asomaye.
Sent using Jamii Forums mobile app