MAENE
Senior Member
- Jan 7, 2011
- 116
- 22
Salaam wadau,
1)Kwa anayejua duka la vitabu vya kikristo lililokuwa pale mkwepu street opposite na club bilicana anijuze kwa sasa wamehamia wapi?nilienda nikaambiwa wamehama,wenyeji hawakujua wameamia wapi.
2)Pia christianbookshop yoyote iliyopo Dar.
Asanteni.
1)Kwa anayejua duka la vitabu vya kikristo lililokuwa pale mkwepu street opposite na club bilicana anijuze kwa sasa wamehamia wapi?nilienda nikaambiwa wamehama,wenyeji hawakujua wameamia wapi.
2)Pia christianbookshop yoyote iliyopo Dar.
Asanteni.