mukandarasi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 932
- 275
Nimekuwa nikisoma maandishi ambayo ni mawazo yake,sijaona au kuelewa kama anaishi na wananchi au wawekezaji wa nchi hii! Amekuwa upande ambao wawekezaji wanafurahia nchi hii kuliko wazalendo, wanavyotaka nchi na utawala wake uwe!Wanachi wenzangu niambieni nani ana amani ya maisha mahali anapo ishii?Mkulima ana yake,mwalimu, Mtumishi wa H/mashauri,Wazabuni,Wakandarasi,wakulima na wengineo wengi! Sasa kama Cdm wanaongelea lengolao kurekebisha hali za wana Tz.Wewe Chriss unaumia nini?