Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,187
- 42,007
Unakwenda kupanda lile ambalo gia hubadilishwa angani.
Ukiona umepanda gari linaloenda kwa "MWENDOKASI" lakini halionekani kuelekea katika "UELEKEO" ambayo unaoeleweka huna budi "Kushuka"....
Unakwenda kupanda lile ambalo gia hubadilishwa angani.
Ukiona umepanda gari linaloenda kwa "MWENDOKASI" lakini halionekani kuelekea katika "UELEKEO" ambayo unaoeleweka huna budi "Kushuka"....
Nadhani ni mmoja kati ya wale wanaimbishwa wimbo unasema dikteta lakini hawafahamu hata maana yake.Nimemwambia huyo jamaa aweke japo sheria moja ambayo haipo na inatokana na huyo anaye msema mtu mmoja ili watu waone namimi akiweka hiyo sheria mpya inayotoka kichwani mwa mtu nitaomba mods wanipe ban ya mwezi mmoja au miwili.
Naye ni jipu tuHuyu mzee si ndiye alitumia hela kujikopesha alafu benki kuu ikamwekea dhamana, akafungua maranchi mengi ya ng'ombe?
Hah hah haaaaa!Hivi huyu mzee ndio tulidanganywa zamani kuwa aliwahi kusimamisha koti hewani huko mjengoni?
inakuuma nin sas? hupend watu km hawa mkuu?JE MNA KUMBUKUMBU KUWA HUYU MZEE HATA UBUNGE ALIJIUZULU MWENYEWE???????
HIVYO SIONI TATIZO KWANI KAMA ILIVYO KWA UBUNGE NDIVYO NA HAPO NDC ANAVYOFANYA.
NI MTU AMBAYE HATAKI KUNG'ANG'ANIA MADARAKA AMEAMUA KUACHIA VIJANA WAONGOZE.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
Hata mwongee vipi hamtaizuia mvua kunyesha, wazembe ni lazima wakalishwe chiniKwenye serikali hii ambayo sheria zote zipo kwenye kichwa cha mtu mmoja, mjanja lazima ajiuzulu. Yeye ndo anaamua nani ni fisadi na nani siyo fisadi. Yeye ndo anaamua ipi ni rushwa na ipi siyo rushwa. Hovyo kabisa.
Kumbe!Huyu mzee si ndiye alitumia hela kujikopesha alafu benki kuu ikamwekea dhamana, akafungua maranchi mengi ya ng'ombe?
LOL!Wala si Tanga, ni Kigoma. Alikorofishana na mbunge wa Kigoma Mjini wa wakati huo, na yeye Chris alikuwa ni Mkuu wa mkoa. Wote wakatishiana na kila mmoja akaonyesha demo
Mama wee!Huyo Mbunge alikuwa wa Kigoma Mjini Hayati Rajab Mbhano baada ya ugomvi Mbunge alipata ajali akafariki 1994 baada ya hapo Watoto kadhaa wakapukutika
Yeye ndo anaamua kwamba watu fulani wameibia serikali bilioni kadhaa kwa hiyo wafungwe (refer siku ya sheria) ila LUGUMI siyo fisadi na anaongezewa muda wa kufunga mashine zile.Naomba unitajie japo sheria moja ambayo imetolewa kichwani mwa huyo unaye muhita mtu mmoja na uiweke hapa watu waione!
Ukiweza kufanya hivyo nitaomba @modrator wanipe ban ya mwezi mmoja kama si miwili!
Naomba uweke hizo sheria .
inakuuma nin sas? hupend watu km hawa mkuu?
Huyu ndo anafaa. Kesi toka nipo kijana mpaka Leo hii ni mzee haijaisha. Bora yeyeKwenye serikali hii ambayo sheria zote zipo kwenye kichwa cha mtu mmoja, mjanja lazima ajiuzulu. Yeye ndo anaamua nani ni fisadi na nani siyo fisadi. Yeye ndo anaamua ipi ni rushwa na ipi siyo rushwa. Hovyo kabisa.
Kaelewa kifuatacho ITVJibu aandike barua tuu.au ni mbinu kupima upepo.
Hivi huyu mzee ndio tulidanganywa zamani kuwa aliwahi kusimamisha koti hewani huko mjengoni?
JIPU Limetumbuka lenyewe hilo!Baada ya Serikali ya awamu ya tano kuingia madarakani na kuanza kwa kasi kubwa, tumeshuhudia viongozi wengi wakiondolewa kwenye nyadhifa zao na wengine kujiondoa wenyewe kabla ya makubwa hayajawafika.
Viongozi wengi waliondolewa katika nyadhifa zao ni kuhusu tuhuma za ufisadi na kushindwa kutekeleza kile ambacho walipaswa kukifanya, kwa upande mwingine wameondolewa baada ya muda wao kumalizika.
Katika hali ya kushangaza, Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa Shirika la maendeleo la Taifa (NDC) Dkt Chrisant Mzindakaya amemuomba Rais Magufuli amruhusu kuachia wadhifa huo aliotumikia kwa miaka sita sasa.
Hili linaweza kuzua maswali mengi, je kuna tatizo kwenye shirika hilo? au kasi imekuwa kubwa? au anataka kupumzika na kupisha nafasi kwa mtu mwingine.?
Dkt Mzindakaya aliteuliwa na Rais mstaafu Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo julai 8.2011.