Nshonzi
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 3,046
- 1,867
Bado nyinyi wasafisha njia kwa wanene wa chama ambao hamna elimu lazima mtumbuliwe tuKama kaona hajatosha nibora apishe njia
Bado nyinyi wasafisha njia kwa wanene wa chama ambao hamna elimu lazima mtumbuliwe tuKama kaona hajatosha nibora apishe njia
Demo gani walionyeshana? Fungukeni vizuri bana! Nini kilikuwa chanzo? Kilichokuwa demonstrated ni nini? Nani aliibuka kidedea?Wala si Tanga, ni Kigoma. Alikorofishana na mbunge wa Kigoma Mjini wa wakati huo, na yeye Chris alikuwa ni Mkuu wa mkoa. Wote wakatishiana na kila mmoja akaonyesha demo
Katiba hiyo hiyo inatoa uhuru kwa vyama vya siasa kufanya mikutano yao na haki ya kukutana na wananchi walio wachaguaAwamu zilizopita ni nani aliyekuwa na sheria kwenye kichwa chake?
Kama inakukera kuona Rais ni Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi, nenda kabadilishe Ibara ya 33(2) na 34(3) ya Katiba ya Tanzania 1977.
Don't hate the player, hate the game.
Kumbuka, Rais ameapishwa ili kuilinda na kuitetea Katiba ya Tanzania.
Ccm hakuna aliye msafi kamweMzee ameambiwa ni vizuri akaomba kustaafu ili aendelee kuwa na heshima yake kuliko Rais kupitisha panga lake.
Labda viwanda vya baiskeli aina ya LizaboniYuko kwenye shirika nyeti sana ambalo litaamua Tz iwe ya viwanda au iendelee kupiga mark time kwenye umasikini.
Watu wenyewe kama ni makada wa ccm basi ni janga la taifaAkapumzike naye sasa, Tunamshukuru sana kwa mchango wake kwa Taifa...Taifa bado linao watu wa kulitetea..
Serikali ni ya watu wote, Mbona kuna makada weengi tu wa ukawa kwenye halmashauri zetu hata serikali kuu, na wanafahamika, wala hata haina madhara, what is required here is patriotism...Watu wenyewe kama ni makada wa ccm basi ni janga la taifa
Chaka la Mafisadi ni chadema, mzindakaya kajifiche hukoKwenye serikali hii ambayo sheria zote zipo kwenye kichwa cha mtu mmoja, mjanja lazima ajiuzulu. Yeye ndo anaamua nani ni fisadi na nani siyo fisadi. Yeye ndo anaamua ipi ni rushwa na ipi siyo rushwa. Hovyo kabisa.
Ccm ni janga la kitaifaSerikali ni ya watu wote, Mbona kuna makada weengi tu wa ukawa kwenye halmashauri zetu hata serikali kuu, na wanafahamika, wala hata haina madhara, what is required here is patriotism...
Kauli tata;Ccm ni janga la kitaifa
Mara nyingi sana jina la mtu huwa lina uhusiano na mwenye jinaKauli tata;
Wala si Tanga, ni Kigoma. Alikorofishana na mbunge wa Kigoma Mjini wa wakati huo, na yeye Chris alikuwa ni Mkuu wa mkoa. Wote wakatishiana na kila mmoja akaonyesha demo
Baada ya Serikali ya awamu ya tano kuingia madarakani na kuanza kwa kasi kubwa, tumeshuhudia viongozi wengi wakiondolewa kwenye nyadhifa zao na wengine kujiondoa wenyewe kabla ya makubwa hayajawafika.
Viongozi wengi waliondolewa katika nyadhifa zao ni kuhusu tuhuma za ufisadi na kushindwa kutekeleza kile ambacho walipaswa kukifanya, kwa upande mwingine wameondolewa baada ya muda wao kumalizika.
Katika hali ya kushangaza, Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa Shirika la maendeleo la Taifa (NDC) Dkt Chrisant Mzindakaya amemuomba Rais Magufuli amruhusu kuachia wadhifa huo aliotumikia kwa miaka sita sasa.
Hili linaweza kuzua maswali mengi, je kuna tatizo kwenye shirika hilo? au kasi imekuwa kubwa? au anataka kupumzika na kupisha nafasi kwa mtu mwingine.?
Dkt Mzindakaya aliteuliwa na Rais mstaafu Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo julai 8.2011.
Huenda amemumoa kijana hana nidhamu hahahahaha nimejisemea tuHili linaweza kuzua maswali mengi, je kuna tatizo kwenye shirika hilo? au kasi imekuwa kubwa? au anataka kupumzika na kupisha nafasi kwa mtu mwingine.?
Naomba unitajie japo sheria moja ambayo imetolewa kichwani mwa huyo unaye muhita mtu mmoja na uiweke hapa watu waione!Kwenye serikali hii ambayo sheria zote zipo kwenye kichwa cha mtu mmoja, mjanja lazima ajiuzulu. Yeye ndo anaamua nani ni fisadi na nani siyo fisadi. Yeye ndo anaamua ipi ni rushwa na ipi siyo rushwa. Hovyo kabisa.
Nimemwambia huyo jamaa aweke japo sheria moja ambayo haipo na inatokana na huyo anaye msema mtu mmoja ili watu waone namimi akiweka hiyo sheria mpya inayotoka kichwani mwa mtu nitaomba mods wanipe ban ya mwezi mmoja au miwili.Awamu zilizopita ni nani aliyekuwa na sheria kwenye kichwa chake?
Kama inakukera kuona Rais ni Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi, nenda kabadilishe Ibara ya 33(2) na 34(3) ya Katiba ya Tanzania 1977.
Don't hate the player, hate the game.
Kumbuka, Rais ameapishwa ili kuilinda na kuitetea Katiba ya Tanzania.