Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Hawa wanamuziki wametinga Kenya ili kutumbuiza mafans wao. Wanaodhani Wakenya wanashabikia muziki wa bongo pekee poleni sana. Sisi tunasikiza muziki toka Nigeria hadi Jamaica. Pia hii inaonyesha kuwa Kenya inaheshimika na wasanii wa kutoka nje.
.
.