Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
kabla ya kufikia ulinzi wa kura kwa chopper,je hakuna njia nyingine ya ulinzi wa kura katka chaguzi zetu?nani anaweza tu kutuelimisha jinsi gani chopper itatumika kulinda kura?Tz kuna vyama vingapi vya siasa zinazoshiriki ktk uchaguzi?Kama vyote vikiamua kila kimoja kutumia ulinzi huo kwa kutumia hata zaidi ya chopper 1 hali ya anga itakuwaje?
acha umburula, anaetoa kibali cha helikopta kuruka angani ni tanzania civil aviation authority na sio huyo rpc failure. asiingilie kazi za watu. kikubwa nikwamba hiyo chopa ikiwa angani siku hiyo isiwe imepakwa rangi za cdm na mgombea wake asivae mavazi ya cdm. thats all.