LWITIKO LWITIKO
JF-Expert Member
- Jan 27, 2013
- 209
- 117
Chopa ni chombo cha usafiri kama gari tu na inapo ruka lazima ipite juu inahusiana vipi na kampen? Kama sisiem wangekua nayo na wao wangezuiwa? Hiyo ni hofu ya kushindwa.
Kalenga. Polisi katika Mkoa wa Iringa,
Mungi alisema siku ya uchaguzi siyo siku ya
kampeni na kwamba polisi hawatakubali
kuona vitendo vya kampeni vikionekana
miongoni mwa wakazi wa Kalenga ikiwamo
helkopta kutumika katika jimbo hilo na watu
waliosafiri kutoka mikoa mbalimbali kwa
kisingizio cha kulinda kura.
"Sasa nataka niwaeleze kuwa sheria iko wazi.
Siku ya uchaguzi si siku ya kampeni. Hatutaki
kuona helkopta za vyama vyote zenye
kuashiria kufanya kampeni. Kila kituo cha
kupigia kura kitakuwa na wakala wa chama
kinachoshiriki katika uchaguzi huo na hao
ndiyo wawakilishi wa chama hicho na walinzi
halali wa uchaguzi ni polisi"alisema Mungi na
kuongeza:
"Hatutaki kuona walinzi wa chama chochote
katika Jimbo la Kalenga. Jukumu la kulinda
uchaguzi, maisha na mali ya wana Kalenga ni
la polisi, hatutaki kuona watu wasiokuwa na
shughuli maalumu wanapitapita katika
maeneo ya kupigia kura"alisema.
.
Hii nchi inazidi kuwa masikini kutokana na ukweli kwamba 80% ya wananchi ni wajinga na 20% ndio waelewa ila nao wanafiki sasa jiulize Mungi, lubuva, mkwawa na wapuuzi wenzenu nyinyi mko kundi lipi la wajinga ama wanafiki, mfikishieni hiyo. Inaudhi wajinga wachache wanapobaka sheria mbele ya jamii inayojiita imestaraabika bado wananchi wake wako kimya stupid Tz!!! Tz my assyKulinda kura ni lazima, polisi anatoa wapi mamlaka ya kuzuia usafiri wa aina Fulani kama sio kutumwa na CCM??? basi hata gari zitaleta kelele jimboni, zipigwe marufuku ili kila mtu atembee kwa miguu yake kabla haijagundulika hata miguu itapiga kelele
Siku ya kupiga kura inasafiri kuelekea wapi hiyo chopa naomba kujuzwa
Hahahahaa. Ninavyowajua makamanda wa CDM chopa lazima iruke tu. Tuone hao mabwege wa polisiCCM watafanya nini? Akili za kutumwa bwana ni hasara kwa taifa letu.