Gwaks makono
Senior Member
- Aug 27, 2011
- 110
- 16
Chopa ya cuf inazunguka juu ya uwanja wa cdm!
Wawafuate wataalamu wa makombeo Nyamongo waje wawasaidie. Maana wao walishamtungua mzungu!hakuna mtu anayejua kutumia ''kombeo'' hapo??
Mwametumwa na ccm ili wakiwapiga watafute kisingisio cha kuwakamata tena. Hongera wana cdm wa igunga kwa uvumilivu na kuendeleza amani