fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,165
- 3,655
Ndo umeandika ugoro Gani Sasa hapoNgoja ukweli tuuseme hapa hapa ili kuweka kumbukumbu sawa.
Unapomtaja Chongolo maana yake unamtaja Samia na unampotaja Bashiru maana yake unamtaja Magufuli. Hivyo kama ni pongezi au lawama zinapaswa kuwalenga Samia au Magufuli kwa siasa zao ndani ya CCM, tusikwepeshe maneno.
Pili, ukweli ni kwamba anachokifanya Samia sasa (kupitia Chongolo) ndio kitu kile kile alichokuwa anakifanya Magufuli (kupitia Bashiru), yaani kufumua mfumo wote wa watendaji wa CCM uliokuwepo halafu simika mfumo mpya uliojaa watu wako tu. Na kwanini wanafanya hayo, jibu ni moja tu, wote wawili (Samia na Magufuli) hawakuwahi kuwa na nguvu au mtandao mpana wa kisiasa ndani ya CCM kabla ya kuzawadiwa urais na kisha uenyekiti wa CCM. Yaani hawakuwa wanakubalika vyema na wanaCCM waandamizi kabla ya kupata madaraka.
Magufuli alikuwa ovyo....
Samia yuko ovyo....
CCM iko ovyo ovyo.