Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,217
- 2,354
Mara Amsterdam kasema ICC @#@#@, Ooh Pompeuo kasema Hakubali, tunangojea matokeo kama tungojeavyo masiha kurudi. Sasa wameamua kwenda wenyewe wameishia Space na twitter. Wakijaamua kurudi hoi ndimi nje. Wataishia "WATANZANIA HAWAJITAMBUI"Yaani wafuasi wa CDM wanaonekana hoi kweli kama viongozi wao duuu,, Hivi raisi Lissu anarudi lini au bado anafaili kesi ya IGP Sirro huko ICC?