Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,978
- 103,352
Delaying ni kitu cha kawaida kwenye project yoyote. Mara ngapi JK alikuwa anazindua projects na ku delay mda ulipangwa? Hebu usiwe mbishi kiasi hicho hivyo ni vitu vya kawaida. Ungesema project imekufa ningekuelewa ila sio issue ya kudelay
Duuu mkuu unamtaja JK Kama sehemu ya utetezi wako kuhusu ujenzi wa miradi!? Hapo nimechoka kabisa. Kwa hiyo ni lini huo miradi unaanza?