Mwe! Mbona kama unahacra na mtuu? Umefanyiwa visivyo nn?
Kuna wakaka wanawapenda wadada wa aina hyo kama hawapendi kitu kuhusu wao wanawaambiaa na wanabadilika mbonaa upendo ndio kila kitu akikupenda atabadilika vile unavyotakaaa.
Calm down asee
Sent from my A5002 using JamiiForums mobile app
Kuna wakaka wanawapenda wadada wa aina hyo kama hawapendi kitu kuhusu wao wanawaambiaa na wanabadilika mbonaa upendo ndio kila kitu akikupenda atabadilika vile unavyotakaaa.
Calm down asee
Sent from my A5002 using JamiiForums mobile app