figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Heshima kwenu wakuu,
Naomba nitumie wasaa huu kuwaasa wale wanaotegemea kuoa. Nakusihi sana wewe unayetaka kuoa, Usioe Mwanamke aliyejichubua au anayevaa Mawigi, Utajuta sana.
Ndoa nyingi zenye matatizo au Wanawake wanaoonekana kupinda/kushindikana au kutobabaika na lolote, wengi wamejichubua au wanavaa Mawigi.
Mtu ameshindwa kumheshimu Mungu wake aliyemuumba kwa rangi nzuri nyeusi atakuheshimu wewe uliyemuoa? Mna macho lakini hamuoni.
Ukitaka ndoa yenye furaha, Nyumba isiyo na makelele basi epuka wanawake waliojichubua na kuvaa mawigi.
Usiponisikiliza mimi itakula kwako. Au kabla ya kunisikiliza, fanya uchunguzi wako wa watu wenye mawigi na kujichubua tabia zao ukilinganisha na hawa natural. Hawa waliojichubua ndio wanafundisha tabia mbaya hawa natural, Usikubali mpenzi wako aongee wala kuzoeana na Mwanamke mwenye kujichubua au kuvaa mawigi. Kwanza wanazeeka haraka. Mtu mwenye miaka 20 unaweza kumuamkia ukijua ana miaka 35
Waliojichubua ni wafuasi wa tigo. Hutaki unaacha
Wanaobandika kope ni wale wavaa mawigina waliojichubua
Wanaobandika kucha ni wale wavaa mawigi na wanaojichubua
Wanaopiga Kelele Mitandaoni hata Mitaani bila soni ni wale Waliojichubua na Wavaa Mawigi.
Wananuka. Ukilala naye unavumilia harufu. Wnanuka harufu kama ya chumba cha vidonda
Kujichubua na kuvaa Mawigi ni laana kwenye mahusiano, mara chache sana mahusiano yenu yakadumu. Kwa Ufupi jua upo na Pepo ndani.
Naamini ujumbe umefika. Ila neno langu sio sheria. Mtoto akililia wembe mpe.
Je unajua Mawigi na Rasta Zinatoka wapi? Bonyeza hapa
NB: Watu waojichubua na kuvaa mawigi msiwakopeshe, hawalipi. Zaidi ya yote si waaminifu.
Wengi walijichubua na kuvaa mawigi ni Mashangingi. Hutaki unaacha.
Naomba nitumie wasaa huu kuwaasa wale wanaotegemea kuoa. Nakusihi sana wewe unayetaka kuoa, Usioe Mwanamke aliyejichubua au anayevaa Mawigi, Utajuta sana.
Ndoa nyingi zenye matatizo au Wanawake wanaoonekana kupinda/kushindikana au kutobabaika na lolote, wengi wamejichubua au wanavaa Mawigi.
Mtu ameshindwa kumheshimu Mungu wake aliyemuumba kwa rangi nzuri nyeusi atakuheshimu wewe uliyemuoa? Mna macho lakini hamuoni.
Ukitaka ndoa yenye furaha, Nyumba isiyo na makelele basi epuka wanawake waliojichubua na kuvaa mawigi.
Usiponisikiliza mimi itakula kwako. Au kabla ya kunisikiliza, fanya uchunguzi wako wa watu wenye mawigi na kujichubua tabia zao ukilinganisha na hawa natural. Hawa waliojichubua ndio wanafundisha tabia mbaya hawa natural, Usikubali mpenzi wako aongee wala kuzoeana na Mwanamke mwenye kujichubua au kuvaa mawigi. Kwanza wanazeeka haraka. Mtu mwenye miaka 20 unaweza kumuamkia ukijua ana miaka 35
Waliojichubua ni wafuasi wa tigo. Hutaki unaacha
Wanaobandika kope ni wale wavaa mawigina waliojichubua
Wanaobandika kucha ni wale wavaa mawigi na wanaojichubua
Wanaopiga Kelele Mitandaoni hata Mitaani bila soni ni wale Waliojichubua na Wavaa Mawigi.
Wananuka. Ukilala naye unavumilia harufu. Wnanuka harufu kama ya chumba cha vidonda
Kujichubua na kuvaa Mawigi ni laana kwenye mahusiano, mara chache sana mahusiano yenu yakadumu. Kwa Ufupi jua upo na Pepo ndani.
Naamini ujumbe umefika. Ila neno langu sio sheria. Mtoto akililia wembe mpe.
Je unajua Mawigi na Rasta Zinatoka wapi? Bonyeza hapa
NB: Watu waojichubua na kuvaa mawigi msiwakopeshe, hawalipi. Zaidi ya yote si waaminifu.
Wengi walijichubua na kuvaa mawigi ni Mashangingi. Hutaki unaacha.