KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 537
Tunawasihi CCM, NEC, na serikali waheshimu maamuzi ya wananchi. Majimbo yote ambayo upinzani umeshinda kihalali matokeo yatangazwe pasipo kuyachelewesha. Msiwalazimishe watu watumie hulka ya unyama wao uliojificha milini mwao katika nchi yetu.
Dalili za kuchachachua matokeo zinaonekana wazi katika majimbo ya Ilemela, Nyamagana, Mbeya mjini, kwa sasabu haya ni majimobo yaliyopo mjini hivyo majimbo haya hayawezi kuwa nyuma kwa namna yoyote katika kutoa matokeo kuliko maswa, meatu na longido, tandahimba na mtwara vijijini. Tunawasihi sana tendeni haki haraka iwezekanavyo.
Dalili za kuchachachua matokeo zinaonekana wazi katika majimbo ya Ilemela, Nyamagana, Mbeya mjini, kwa sasabu haya ni majimobo yaliyopo mjini hivyo majimbo haya hayawezi kuwa nyuma kwa namna yoyote katika kutoa matokeo kuliko maswa, meatu na longido, tandahimba na mtwara vijijini. Tunawasihi sana tendeni haki haraka iwezekanavyo.