Hii ni aibu ya mwaka dada zangu hii tabia ya kutovaa chupi ni mbaya sana..
Leo kuna dada kavaa suruali yake ya kitambaa kaingia ofisini ..ofisi yetu ni ya kizamani viti vingi na mabechi ni ya mbao ...akafika akakaa kwenye kiti bila kujua kumbe kuna msumali umechomoka kamaliza shida yake anainuka msumali umeshikilia suruali mbaya ukachana sehemu kubwa ya matakono mwa suruali ... Ukweli ilibidi niiname chini nimwite mhudumu wa kike amstiri kwa kanga ambayo alikuwa nayo kwa pochi..yani ****** yote njee mana ndani hana hata chupi yuko kama alivyo letwa duniani..
Wito dadazangu ninyi wa siku hizi vaeni chupi jamani eeh hizi aibu gani!!!!
Leo kuna dada kavaa suruali yake ya kitambaa kaingia ofisini ..ofisi yetu ni ya kizamani viti vingi na mabechi ni ya mbao ...akafika akakaa kwenye kiti bila kujua kumbe kuna msumali umechomoka kamaliza shida yake anainuka msumali umeshikilia suruali mbaya ukachana sehemu kubwa ya matakono mwa suruali ... Ukweli ilibidi niiname chini nimwite mhudumu wa kike amstiri kwa kanga ambayo alikuwa nayo kwa pochi..yani ****** yote njee mana ndani hana hata chupi yuko kama alivyo letwa duniani..
Wito dadazangu ninyi wa siku hizi vaeni chupi jamani eeh hizi aibu gani!!!!