Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,652
In mwijage voice, inasemekana kuna kampuni ya simu inataka kufunga mitambo yake. Migodi nayo ipo mbioni kufungwa. Dangote naye anataka kusepa.Azam naye yupo mguu nje mguu ndani. Sasa kama hawa wakiondoka ni mwekezaji gani mjinga anaweza kurisk kuja kufanya investment Tanzania!
Viongozi wetu hebu wekeni siasa pembeni. Wekeni mambo sawa. Hawa jamaa wakisepa si watanzania tutaishi kama mashetani.
Raisi wetu Magufuli anahitaji kodi zenu ajenge viwanda na kaishaweka order ya bombadier 3 sasa. Kila kukicha nyie mnamtishia kuondoka sasa.
Watanzania tiyari tumeishaisoma number sasa nyie wawekezaji mnataka mkamsomeshe number hata Raisi wetu kweli!!!!! Kwa hili tutaomba mtusamehe na yeye pia ni binadamu anakosea.
Kosa sio kosa bali kosa nikurudia kosa.
Viongozi wetu hebu wekeni siasa pembeni. Wekeni mambo sawa. Hawa jamaa wakisepa si watanzania tutaishi kama mashetani.
Raisi wetu Magufuli anahitaji kodi zenu ajenge viwanda na kaishaweka order ya bombadier 3 sasa. Kila kukicha nyie mnamtishia kuondoka sasa.
Watanzania tiyari tumeishaisoma number sasa nyie wawekezaji mnataka mkamsomeshe number hata Raisi wetu kweli!!!!! Kwa hili tutaomba mtusamehe na yeye pia ni binadamu anakosea.
Kosa sio kosa bali kosa nikurudia kosa.