Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Wewe zuzu haya ndio matokeo ya ule Udikteta wa KayafaSi mlikuwa mnamsakama na kumpa majina mabaya JPM, kisha baada ya kuondoka mkaanza kufanya tafirija?
Kuna GIZA na UTELEZI usiomithirika utajidhihirisha siku sio nyingi ndipo mtafahamu ukweli na kutafuta namna ya kuomba msamaha kwa kusingizia wengine wenye wenye nia njema kwa nchi.