Joyce joyce
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 457
- 1,973
Mnaotaka kwenda kuaga kesho tafadhali jiridhishe kwanza kuwa haujaaga, kuaga msiba mara mbili ni mikosi kwenye safari yako ya kimaisha na unakuwa hujamuaga marehemu bali unakuwa umeenda kumkebeshi (kumtania)
Hata kwenye ku-like post Ya mtu kwenye FB ukilike Mara mbili unafutwa moja kwa moja na unakuwa huja-like na hiyo hutafasiriwa Kama kebehi, nenda kwenye FB like Mara Ya kwanza, halafu like Mara ya pili zote zinafutwa, huwezi kumuaga marehemu Kwa kupita mbele yake mara mbili mtaleta laaana Kwa taifa
Najua wapo watakaobisha na kunitukana Lakini nimeishawaelimisha shauri zenu nendeni tu Mara sijui hiii ni ya special sijui hiii Ya kwa ajiri ya cheo haya nendeni
Kuaga Mara mbili ni kuleta laana Kwako na Kwa taifa maaana hutafasiriwa Kama vile unaenda kumcheka marehemu na kumkebehi msifanywe hivyo wakuu Wangu jamani
Hata kwenye ku-like post Ya mtu kwenye FB ukilike Mara mbili unafutwa moja kwa moja na unakuwa huja-like na hiyo hutafasiriwa Kama kebehi, nenda kwenye FB like Mara Ya kwanza, halafu like Mara ya pili zote zinafutwa, huwezi kumuaga marehemu Kwa kupita mbele yake mara mbili mtaleta laaana Kwa taifa
Najua wapo watakaobisha na kunitukana Lakini nimeishawaelimisha shauri zenu nendeni tu Mara sijui hiii ni ya special sijui hiii Ya kwa ajiri ya cheo haya nendeni
Kuaga Mara mbili ni kuleta laana Kwako na Kwa taifa maaana hutafasiriwa Kama vile unaenda kumcheka marehemu na kumkebehi msifanywe hivyo wakuu Wangu jamani