BENSON MSEMWA
Member
- Aug 10, 2010
- 30
- 2
Kwa kawaida upigaji wa kura humalizika saa kumi jioni na kinachofuata huwa ni kuhesabu kura,kuna uwezekano mkubwa kesho umeme ukakatwa kwa hila za kujenga mazingira ya wizi wa kura,hatutaki fujo tanesco,hatutaki giza igunga