Elections 2010 Chonde chonde tanesco,msikubali kutumika igunga kesho

BENSON MSEMWA

Member
Aug 10, 2010
30
2
Kwa kawaida upigaji wa kura humalizika saa kumi jioni na kinachofuata huwa ni kuhesabu kura,kuna uwezekano mkubwa kesho umeme ukakatwa kwa hila za kujenga mazingira ya wizi wa kura,hatutaki fujo tanesco,hatutaki giza igunga
 
Back
Top Bottom