BongoTz
JF-Expert Member
- Nov 3, 2006
- 272
- 3
- Thread starter
- #41
Hivi kwani serikali imeacha kutoa ruzuku kwa vyama vya mageuzi sikuhizi...?Mkandara;
Umekosea, ni uongo; hakuna kitu kama hicho. Kwa mujibu wa sheria, kila chama hujitafutia rasilimali zake kwa ajili ya kugharamia kampeni za uchaguzi. Na hii inabainishwa na sheria ya Gharama za Uchaguzi.
Sawasawa?