MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,049
Unaweza usife kwa kuku lakini ukafa kwa ajali,fumanizi n.k
haaaaaaaaaaaaa uwiiiii dah
Unaweza usife kwa kuku lakini ukafa kwa ajali,fumanizi n.k
Mkuu angalia nyakati za kuandika mambo haya,toka nilikula harusin.hv watu hatujala kuku tuna mwaka leo unaniambia wana sumu,neema ya Mungu naihitaji sanaView attachment 674642
Ulaji wa nyama ya kuku wa kisasa umeenea sana mijini kwa sasa.
Lakini jua kuwa madawa yote na kemikali zote apewazo kuku ili akue fasta hubaki kwa mda mrefu kwenye mifupa na ngozi yake. Kwa maana hiyo humuingia mlaji kwa njia ya kula sehemu hizo za kitoweo.
Embu jiulize kiumbe kinatotolewa leo na baada ya wiki 6 kinaliwa, kimekuaje hapo?
No wonder matatizo ya kiafya yanazidi pamoja na gyms zetu.
Shtukaa!
Afu wanapigana miti si mchezoMnatisha watu bure, mtu anakula kuku mwaka mara moja tena kipande tu cha nyama ya kuku. Aisee tembeeni muone. Africa kusini mboga kubwa ni kuku, nyama na ng'ombe na boga za majani. samaki huliwa na wachache sana. Na wala sikupata kusikia mtu alopata magonjwa kwa sababu ya kula kuku wa kisasa. Na watu wanakula kuku si mchezo.
Kwan zkiwa zmepikwa izo dawa azipotezi nguvu??, au azijichanganyi na nyama?? Mamb mengine hata hayaingii akilini