Padri Mcharo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,899
- 3,671
Habari wakuu wangu waheshimiwa sana.
Nina mdogo wangu wa kike kamaliza form six mwaka huu CBG matokeo yake ni DIV III ya 17 with :
GS E
Geog D
Chem S
Bios F
Bam F
Obvoius mpaka hapo hana qualification za kuomba degree TCU.
Sasa tumegeukia NACTE tuombe diploma za Nursing, Clinical officer na zingine kama hizo.
Huku nako pia situation is not condusive sababu wanahitaji O level mtu uwe Chem C, Bios C na Phy D wakat yeye ana D, D na E.
Nikaambiwa diploma ya ualimu ni last resort. Bahat mbaya (na hapa ndipo nilipo kwama) section ya ualimu NACTE siioni hawaja weka.
Sasa swali langu ni hivi wakuu :
Je nikitaka ku apply diploma ya ualimu niende wapi, ni kupitia NACTE kama diploma zingine ama kuna utaratibu mwingine??
Maana website ya NACTE sioni section ya ualimu. Kuna afya, biashara na kilimo tu.
Ama mnanishaur tuachane na diploma akaanze na certificate kwa kutumia cheti ya O level pekee.
Nisaidien wakuu wangu Maana deadline ni August 5.
Uinjinia wangu naweka pembeli.
#Chief Eng.
Nina mdogo wangu wa kike kamaliza form six mwaka huu CBG matokeo yake ni DIV III ya 17 with :
GS E
Geog D
Chem S
Bios F
Bam F
Obvoius mpaka hapo hana qualification za kuomba degree TCU.
Sasa tumegeukia NACTE tuombe diploma za Nursing, Clinical officer na zingine kama hizo.
Huku nako pia situation is not condusive sababu wanahitaji O level mtu uwe Chem C, Bios C na Phy D wakat yeye ana D, D na E.
Nikaambiwa diploma ya ualimu ni last resort. Bahat mbaya (na hapa ndipo nilipo kwama) section ya ualimu NACTE siioni hawaja weka.
Sasa swali langu ni hivi wakuu :
Je nikitaka ku apply diploma ya ualimu niende wapi, ni kupitia NACTE kama diploma zingine ama kuna utaratibu mwingine??
Maana website ya NACTE sioni section ya ualimu. Kuna afya, biashara na kilimo tu.
Ama mnanishaur tuachane na diploma akaanze na certificate kwa kutumia cheti ya O level pekee.
Nisaidien wakuu wangu Maana deadline ni August 5.
Uinjinia wangu naweka pembeli.
#Chief Eng.