Chonde chonde mzee Lowassa hao wabunge na madiwani wako uliowaacha Chadema wasubiri hadi 2020 ndio wakufuate

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,754
139,571
Nimeambiwa hapa kuwa kuna kundi kubwa la madiwani hasa mikoa ya kaskazini na baadhi ya wabunge wanapanga kuachana na Chadema na kuitikia kauli ya mzee Lowassa iliyowataka wafuasi wake kumuunga mkono Rais Magufuli.

Najua hili ni jambo jema na la kupendeza kwa CCM lakini kila nikifikiria gharama za chaguzi ndogo kiukweli naihurumia nchi yangu Tanzania.

Hivyo nakuomba sana mzee Lowassa washauri wote wenye mahaba nawe waliochaguliwa kama wabunge na madiwani wasubiri 2020 ndio warejeshe kadi za Chadema ili kutuondolea gharama za chaguzi ndogo.

Nakumbuka Zitto aliwahi kutumia busara hiyo akatuepusha na uchaguzi mdogo.

Maendeleo hayana vyama!
 
Nimeambiwa hapa kuwa kuna kundi kubwa la madiwani hasa mikoa ya kaskazini na baadhi ya wabunge wanapanga kuachana na Chadema na kuitikia kauli ya mzee Lowassa iliyowataka wafuasi wake kumuunga mkono Rais Magufuli.

Najua hili ni jambo jema na la kupendeza kwa CCM lakini kila nikifikiria gharama za chaguzi ndogo kiukweli naihurumia nchi yangu Tanzania.

Hivyo nakuomba sana mzee Lowassa washauri wote wenye mahaba nawe waliochaguliwa kama wabunge na madiwani wasubiri 2020 ndio warejeshe kadi za Chadema ili kutuondolea gharama za chaguzi ndogo.

Nakumbuka Zitto aliwahi kutumia busara hiyo akatuepusha na uchaguzi mdogo.

Maendeleo hayana vyama!
Utumbo wa nguruwe umeandikwa na Lumumba
 
Nimeambiwa hapa kuwa kuna kundi kubwa la madiwani hasa mikoa ya kaskazini na baadhi ya wabunge wanapanga kuachana na Chadema na kuitikia kauli ya mzee Lowassa iliyowataka wafuasi wake kumuunga mkono Rais Magufuli.

Najua hili ni jambo jema na la kupendeza kwa CCM lakini kila nikifikiria gharama za chaguzi ndogo kiukweli naihurumia nchi yangu Tanzania.

Hivyo nakuomba sana mzee Lowassa washauri wote wenye mahaba nawe waliochaguliwa kama wabunge na madiwani wasubiri 2020 ndio warejeshe kadi za Chadema ili kutuondolea gharama za chaguzi ndogo.

Nakumbuka Zitto aliwahi kutumia busara hiyo akatuepusha na uchaguzi mdogo.

Maendeleo hayana vyama!
Zitto anawapa tabu sana wana Lumumba!! Wanatamani wamteke sema ndio hivyo wanaogopa UKOO Mzima utateketea.
 
Siasa zinabadilika kilichomtoa Lowasa chadema sio kwa kupenda kwake bali ni upepo unaovuma kutoka Belgium. Mwambie aliyekuja nao wote wamemuona km msukuma alivyosema anajinyea atajinyea km alivyojinyea MADABA- Ruvuma
 
Nimeambiwa hapa kuwa kuna kundi kubwa la madiwani hasa mikoa ya kaskazini na baadhi ya wabunge wanapanga kuachana na Chadema na kuitikia kauli ya mzee Lowassa iliyowataka wafuasi wake kumuunga mkono Rais Magufuli.

Najua hili ni jambo jema na la kupendeza kwa CCM lakini kila nikifikiria gharama za chaguzi ndogo kiukweli naihurumia nchi yangu Tanzania.

Hivyo nakuomba sana mzee Lowassa washauri wote wenye mahaba nawe waliochaguliwa kama wabunge na madiwani wasubiri 2020 ndio warejeshe kadi za Chadema ili kutuondolea gharama za chaguzi ndogo.

Nakumbuka Zitto aliwahi kutumia busara hiyo akatuepusha na uchaguzi mdogo.

Maendeleo hayana vyama!
Waende tu hata uchaguzi ufanyike watanzania wako tayari kulipa kodi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu ya Lowassa kurudi ccm sio kwa kumuunga mkono Magufuli, bali kuzikinga Mali zake pia kuna fununu timu ya Lowassa na kikwete wanampango wa kumgowa bwana misifa 2020.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Siasa zinabadilika kilichomtoa Lowasa chadema sio kwa kupenda kwake bali ni upepo unaovuma kutoka Belgium. Mwambie aliyekuja nao wote wamemuona km msukuma alivyosema anajinyea atajinyea km alivyojinyea MADABA- Ruvuma
Tumia lugha yenye staha tafadhali!
 
Hiyo inaonyesha ni jinsi gani ccm hamna njia mbadala ya kuwapata viongozi wazuri wanao jielewa na wasiyo makasuku
Hahahaa........kufikia 2020 tutasikia mengi kutokea pande za Ufipa.

Nassari na madiwani wote kule Arumeru wanapanga kujiunga CCM!

In God we trust
 
Sababu ya Lowassa kurudi ccm sio kwa kumuunga mkono Magufuli, bali kuzikinga Mali zake pia kuna fununu timu ya Lowassa na kikwete wanampango wa kumgowa bwana misifa 2020.


Ndukiiiii
Membe hoyeeeeeeeeeeeeeeee

In God we trust
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom