The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Bila kuwachosha,twende kwenye mada..
Nitoe tahadhari tuu kwa Nyie Wataalamu mnaopanga ratiba za mh.Rais hususani Katibu Mkuu Kiongozi na watu wako wa Usalama wa Rais.,jitahidini kumpa mapumziko mh.Rais.
Ni juzi tuu katoka Kwenye ziara ndefu tena ya kutumia magari mikoa ya Nyanda za Juu Kusini,kesho Siku 2 Tanga na akitoka huko aende DRC..
Tunampenda na kumjali Rais wetu,chonde Chonde Wakuu msije kuanza kusema haambiliki mara anasema yuko fit nk nyie ndio mna dhamana hiyo 👇
Nitoe tahadhari tuu kwa Nyie Wataalamu mnaopanga ratiba za mh.Rais hususani Katibu Mkuu Kiongozi na watu wako wa Usalama wa Rais.,jitahidini kumpa mapumziko mh.Rais.
Ni juzi tuu katoka Kwenye ziara ndefu tena ya kutumia magari mikoa ya Nyanda za Juu Kusini,kesho Siku 2 Tanga na akitoka huko aende DRC..
Tunampenda na kumjali Rais wetu,chonde Chonde Wakuu msije kuanza kusema haambiliki mara anasema yuko fit nk nyie ndio mna dhamana hiyo 👇