Huyu Mama nampenda saana ingawa tuko vyama tofauti...alisimamia Bunge kadiri ya uwezo wake na alikuwa kama Mzazi Bungeni....hakutukanwa.
Nilimpenda saana aliposema ukweli hapa tuna andika sheria sitaki ma bush lawyer..aliwataka kina Simbachawene...Halimaa...Tundu....nk....nk...Vivyo hivyo huko tupeleke vichwa kweli kweli ..Dr Fauzi Twaib naye Kichwa kweli kweli lakini kajificha
Nilimpenda saana aliposema ukweli hapa tuna andika sheria sitaki ma bush lawyer..aliwataka kina Simbachawene...Halimaa...Tundu....nk....nk...Vivyo hivyo huko tupeleke vichwa kweli kweli ..Dr Fauzi Twaib naye Kichwa kweli kweli lakini kajificha