Chonde! Chonde! Mh.JK jibu hoja usifanye mzaha!

mmaroroi

JF-Expert Member
May 8, 2008
2,960
544
Katika hotuba yake kwa Bunge Rais JK alisema mimi ni Rais tu anayeondoka atarudi tu.Sasa kwa Rais makini ni vema ujiulize kwanini unakataliwa?Jibu pekee ni kukaa na wahusika ujue sababu ya kukukataa la sivyo unakuza jambo hilo na si muda mrefu utajutia maamuzi ya mzaha.Wananchi kwa sasa wanakupima busara ya kutatua suala hilo.Ziba ufa kabla ukuta haujaanguka.Hayo ndio yangu,Mungu ibariki Tanzania.
 
sijawahi kuona watu wamekaa mahari raisi anaongea wanazomea, japo walikuwa wanaangalia TV , basi jana kila mtu alikuwa anabeza kila alichoongea............ Kuna mahari akasema Tanzania tunauza zaidi kenya-kuna jama likasema mtoeni huyo
 
sijawahi kuona watu wamekaa mahari raisi anaongea wanazomea, japo walikuwa wanaangalia tv , basi jana kila mtu alikuwa anabeza kila alichoongea............ Kuna mahari akasema tanzania tunauza zaidi kenya-kuna jama likasema mtoeni huyo
mi natamani nilie nashindwa siku hizi ninatabu kweli kwenye kuangalia tv zoote zinzonyesha hotuba ya jk basi remote inakazi ya ziada!
 
Hotuba yake jana ilikuwa na mapungufu mengi sana haswa suala la udini ambalo wameliongea sana kipindi cha kampeni.Kimsingi sioni Udini unatokea wapi maana yeye mwenyewe juzi ameteua wabunge watatu wote waislamu,sijui tulitafsiri vipi?.Suala hili wamelifanya ajenda ili kumpunguza makali Dr.Slaa na wanachama na mashabiki wa CHADEMA lakini wanapotosha umma na matokeo yake ni mwanzo wa kuchochea udini ambao kimsingi haupo.
Kauli ya kwamba Rais ni mmoja na wengine hawana mbadala nafikiri ni mwanzo wa kujenga mgogoro mpya mfano wa uliodumu Zanzibar kwa miaka kumi na tano.Tuna tatizo la msingi la katiba na Tume ya Uchaguzi ambayo kimamlaka inaingiliwa sana na watawala ambao ndio wateuzi wa viongozi wa tume hiyo.Hivyo wanaweza kujiona washindi kwa hivi sasa ila mbele ya safari hali inaweza kuwawia ngumu kutawala nchi hii.Ni suala la muda tu,tusubiri tuone
 
Hotuba yake jana ilikuwa na mapungufu mengi sana haswa suala la udini ambalo wameliongea sana kipindi cha kampeni.Kimsingi sioni Udini unatokea wapi maana yeye mwenyewe juzi ameteua wabunge watatu wote waislamu,sijui tulitafsiri vipi?.Suala hili wamelifanya ajenda ili kumpunguza makali Dr.Slaa na wanachama na mashabiki wa CHADEMA lakini wanapotosha umma na matokeo yake ni mwanzo wa kuchochea udini ambao kimsingi haupo.
Kauli ya kwamba Rais ni mmoja na wengine hawana mbadala nafikiri ni mwanzo wa kujenga mgogoro mpya mfano wa uliodumu Zanzibar kwa miaka kumi na tano.Tuna tatizo la msingi la katiba na Tume ya Uchaguzi ambayo kimamlaka inaingiliwa sana na watawala ambao ndio wateuzi wa viongozi wa tume hiyo.Hivyo wanaweza kujiona washindi kwa hivi sasa ila mbele ya safari hali inaweza kuwawia ngumu kutawala nchi hii.Ni suala la muda tu,tusubiri tuone
Heshima kwako mkuu umenikuna,Mungu yuu nasi tushirikiane kuikomboa nchi yetu.
 

Alisema amepunguza mfumuko wa bei kutoka asilimia 12 hadi asilimia 4 mwezi wa septemba
.
 
Mimi alinifurahisha sana jana alivyotoa ulimi.....hakuamini kama makamanda wa Chadema wanatoka nje...Nikapata hofu mkwere wetu asije tena akaanguka.
 
Katika hotuba yake kwa Bunge Rais JK alisema mimi ni Rais tu anayeondoka atarudi tu.Sasa kwa Rais makini ni vema ujiulize kwanini unakataliwa?Jibu pekee ni kukaa na wahusika ujue sababu ya kukukataa la sivyo unakuza jambo hilo na si muda mrefu utajutia maamuzi ya mzaha.Wananchi kwa sasa wanakupima busara ya kutatua suala hilo.Ziba ufa kabla ukuta haujaanguka.Hayo ndio yangu,Mungu ibariki Tanzania.

Usitegemee kwenye watu wa Tanzania ambao ni zaidi ya 40m wakukubali wote. Na hakuna duniani kiongozi ambae anakubaliwa na watu wake wote, haipo. Hakuna hoja hapo, mnalotaka la uchaguzi kurudiwa HALIPO jipangeni tu kwa 2015, Suala la katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi mahali pake ni kuonana na yeye kwa njia ya kiistaarabu ili apeleke mambo hayo bungeni, lakini so far hakuna hoja ndio maana anaendelea kutandika mzigo kama kawaida na si muda mrefu ataunda serikali. Yeye ndio RAIS na hakuna rais wa Tanzania mwingine zaidi yake.
 
usitegemee kwenye watu wa tanzania ambao ni zaidi ya 40m wakukubali wote. Na hakuna duniani kiongozi ambae anakubaliwa na watu wake wote, haipo. Hakuna hoja hapo, mnalotaka la uchaguzi kurudiwa halipo jipangeni tu kwa 2015, suala la katiba mpya na tume huru ya uchaguzi mahali pake ni kuonana na yeye kwa njia ya kiistaarabu ili apeleke mambo hayo bungeni, lakini so far hakuna hoja ndio maana anaendelea kutandika mzigo kama kawaida na si muda mrefu ataunda serikali. Yeye ndio rais na hakuna rais wa tanzania mwingine zaidi yake.

c.r.a.p
 
KATIKA SIKU NILIZOKUA DISGUSTED NA JK BASI JANA ZAIDI KILA KITU KWAKE MZAHA TU MARA HOO MZEE YUSUPH! MARA HOO FILAMU ZA BONGO...NCHI INA ISSUES NZITO ZA KUONGELEA YE ANAWAZA STAREHE TU...MSURA NAO MTABASAMU MPAAAAANA ULIMI NJE KILAA SAA....:laser:
 
Aliniacha hoi kuna sehemu alisema najua waliotoka humu bungeni najua wananiangalia na kunisikiliza kwenye luninga......ama kweli Mkwere hamnazo
 
Usitegemee kwenye watu wa Tanzania ambao ni zaidi ya 40m wakukubali wote. Na hakuna duniani kiongozi ambae anakubaliwa na watu wake wote, haipo. Hakuna hoja hapo, mnalotaka la uchaguzi kurudiwa HALIPO jipangeni tu kwa 2015, Suala la katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi mahali pake ni kuonana na yeye kwa njia ya kiistaarabu ili apeleke mambo hayo bungeni, lakini so far hakuna hoja ndio maana anaendelea kutandika mzigo kama kawaida na si muda mrefu ataunda serikali. Yeye ndio RAIS na hakuna rais wa Tanzania mwingine zaidi yake.
I'm not sure you think twice before you write. Hakuna anayedai uchaguzi urudiwe. Kinachodaiwa ni kubadili zile taratibu zilizopo zinazoibaka demokrasia. Baadhi ya vipengere vya katiba vinahitaji mabadiliko ili kukuza uhuru wa wabunge na wananchi kwa ujumla kwa maslahi ya umma. Tume inatakiwa kuwa huru zaidi ili iweze kufanya kazi yake kwa uwazi pasipo mshinikizo wa baadhi ya viongozi wa vyama au serikali. Lengo ni kwamba mabadiliko haya yausaidie umma wa Tanzania kuwachagua viongozi wake hiyo 2015 na kuendelea, kwa uhuru na haki na waongozwe na viongozi waliojichagulia wao wenyewe, na sio viongozi wa kulazimishwa kama ilivyo sasa katika baadhi ya maeneo.
 
Nikaona TBC yule mtangazaji alikuwa anamkatili yule mama mwanaharakati kuongea .mtangazaji anataka mama asifie hotuba ya mheshimiwa ,Mama nae ameshikiri msimamo wake wa kukosoa hotuba ...
 
Aliniacha hoi kuna sehemu alisema najua waliotoka humu bungeni najua wananiangalia na kunisikiliza kwenye luninga......ama kweli Mkwere hamnazo

Hivi Mkwere baada ya chuo kikuu hiyo miaka ya sabini amesoma mahali pengine au ndiyo anatumia nondo zilezile tu za miaka hiyo!!
 
Hotuba yake jana ilikuwa na mapungufu mengi sana haswa suala la udini ambalo wameliongea sana kipindi cha kampeni.Kimsingi sioni Udini unatokea wapi maana yeye mwenyewe juzi ameteua wabunge watatu wote waislamu,sijui tulitafsiri vipi?.Suala hili wamelifanya ajenda ili kumpunguza makali Dr.Slaa na wanachama na mashabiki wa CHADEMA lakini wanapotosha umma na matokeo yake ni mwanzo wa kuchochea udini ambao kimsingi haupo.
Kauli ya kwamba Rais ni mmoja na wengine hawana mbadala nafikiri ni mwanzo wa kujenga mgogoro mpya mfano wa uliodumu Zanzibar kwa miaka kumi na tano.Tuna tatizo la msingi la katiba na Tume ya Uchaguzi ambayo kimamlaka inaingiliwa sana na watawala ambao ndio wateuzi wa viongozi wa tume hiyo.Hivyo wanaweza kujiona washindi kwa hivi sasa ila mbele ya safari hali inaweza kuwawia ngumu kutawala nchi hii.Ni suala la muda tu,tusubiri tuone


Hakuna kitu namiss siku hizi za usoni kama maneno ya hekhima kutoka kwa rais.

Nasikitika miaka mitano itapita nikiwa sina Rais wa kumsikiliza

INANIUMA SANA KWA KWELI
 
hakuna kitu namiss siku hizi za usoni kama maneno ya hekhima kutoka kwa rais.

Nasikitika miaka mitano itapita nikiwa sina rais wa kumsikiliza

inaniuma sana kwa kweli

bado kidogo tu ataanza kutangaza kumbi gani mzee yusufu ana piga!
 
Hivi Mkwere baada ya chuo kikuu hiyo miaka ya sabini amesoma mahali pengine au ndiyo anatumia nondo zilezile tu za miaka hiyo!!

Hajawahi hata kwenda kwenye kwenye academic seminar na PASS degree yake
 
ujinga na upumbavu wa kifisadi umakini hamna zama za mafisadi kufisidi nchi appointment ya meghji kurudi bungeni inajieleza tusitegemee mema katika ngwe hii watanzania tumezoea kuambiwa fungeni mikanda this time around ni zaidi ya kufunga hiyo mikanda!
 
Back
Top Bottom