Katika hotuba yake kwa Bunge Rais JK alisema mimi ni Rais tu anayeondoka atarudi tu.Sasa kwa Rais makini ni vema ujiulize kwanini unakataliwa?Jibu pekee ni kukaa na wahusika ujue sababu ya kukukataa la sivyo unakuza jambo hilo na si muda mrefu utajutia maamuzi ya mzaha.Wananchi kwa sasa wanakupima busara ya kutatua suala hilo.Ziba ufa kabla ukuta haujaanguka.Hayo ndio yangu,Mungu ibariki Tanzania.