johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,857
- 141,794
Natoa tu angalizo maana hizi taarifa za kufunguliwa shughuli za michezo, mahoteli, bar nk kunaweza kutafsiriwa kwa namna isiyofaa.
Wenye daladala mnatakiwa kubeba abiria kwa idadi ile iliyoainishwa kwenye kadi ya gari.
Maendeleo hayana vyama!
Wenye daladala mnatakiwa kubeba abiria kwa idadi ile iliyoainishwa kwenye kadi ya gari.
Maendeleo hayana vyama!