Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,298
- 45,584
Wewe ni mwanachama wa Chadema?
Hakutakuwa na jambo la kucheka. CCM pamoja na utopolo wao lakini hua wanajitahidi kukiweka chama pamoja kwa kuwasamehe wanachama wake. Wale wabunge 19 wana faida zaidi wakiwa CDM kuliko kuwa nje ya chama.