LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Dunia inajua wapinzani walicho fanyiwa. Nkubli wabunge waende bungeni. Hii ni kuweka historia sawa..Ok sawa Chadema wakiwapeleka halafu Ndugai akawatoa nje na kuwafungia kwa vikao 9 vya Bunge watakuwa wamefanya nini??
Pili uporwe ushindi wako halali ukashangilie viti Maalum?? Siyo kwa Halima Mdee.