M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
endapo kikao cha ccm kitapitisha maamuzi ya kuwatema hawa mafisadi wawili, napenda kuwatahadharisha viongozi wa juu kutowakaribisha hawa watu. Kwani wanastahili kwenda jela kutokana na ushahidi uliopo mpaka sasa kwa matumizi mabaya ya ofc walipokuwa kwenye uongozi.