Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Maoni yangu hayo -- katu msifanye ushenzi kama huo kwenye mikutano yao. Mkifanya hivyo nawahakikishieni kabla masaa 12 kupita kamata kamata ya polisi ya viongozi wa CDM itakuwa ya kasi ya zimamoto! Watakamatwa viongozi wote wa taifa na kufunguliwa mashitaka ya ugaidi!
Jaribuni muone na mtajua kwamba polisi inatumikia nani hasa pamoja na kwamba Watz wote wanaligharamia jeshi hilo.!
By the way nauliza tu just for the matter of interest! Ni wangapi wameshakamatwa na polisi hadi sasa kutokana na tukio hilo a jana? Au ni dana dana ile ile a la Ulimboka na Kibanda?
Jaribuni muone na mtajua kwamba polisi inatumikia nani hasa pamoja na kwamba Watz wote wanaligharamia jeshi hilo.!
By the way nauliza tu just for the matter of interest! Ni wangapi wameshakamatwa na polisi hadi sasa kutokana na tukio hilo a jana? Au ni dana dana ile ile a la Ulimboka na Kibanda?